Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Ulinitafuta wapi ukanikosa? Au ulitaka nipotee ndio upate sababu ya kum-do huyo anae tangaza biashara? :A S 39:nimekumiss bibie, umejificha wapi mpaka mwenzio naanza kupata haya mauzauza??lol
Ulinitafuta wapi ukanikosa? Au ulitaka nipotee ndio upate sababu ya kum-do huyo anae tangaza biashara? :A S 39:nimekumiss bibie, umejificha wapi mpaka mwenzio naanza kupata haya mauzauza??lol
nimekutafuta na kukukosa huku Ushongo Mabaoni au muda wa palizi umefika? kudu / kuduana ni suala dogo sana kwa normal human beings, they do it alone, in couples or groups, its all about preference tu, no fuss.Ulinitafuta wapi ukanikosa? Au ulitaka nipotee ndio upate sababu ya kum-do huyo anae tangaza biashara? :A S 39: