Biashara matangazo ati! Na wanaume tulivyo 'dhaifu' linapokuja suala la 'manyonyo', atatupata tu!
Nyonyo zimestand mwanawane kitu bolibo!Ukweli husemwa:
Watanzania bana, kwani hujui kama kuna makabila ambayo kuwa na matiti nje ni fasheni. Kwanza kuvaa nguo mwili mzima ni utamaduni ambalo tumeletewa na weupe wa magharibi na mashariki ya mbali
angalia kabila la Wataturu:-
Nini hiki?
Wengine wetu hapa ndipo udhaifu wetu ulipolalia!,
Kwa jina anaitwa Husna ni Mtoto wa Tanga!.
Hivi kumbe ameshalikubali jina hilo!Mkuu, 'dhaifu' ni jina la mtu, usimtake lawama bure.
Pande za kwetu bado tunadumisha mila...
Weweeeee! hahahahahahaMeen, i wanna do her..
Yuko sahihi. Toka lini biashara ikafunikwa isionekane? Mwacheni aonyeshe biashara yake ili wanunuzi wachague vizuri lol
Hao siku hizi wana mtindo wa kutoka nyumbani akiwa kavaa nguo zenye kumletea heshima akifika geto kwa marafiki zao au vyoo ya umma public toilet) wanabadilisha na kuvaa vivazi vyao vya mitego. Huyo usijekuta hata mzazi wake hajui kama anavaa nguo hizo.
Nini hiki?