Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Hamisi amesema kuna mdada ulimtuma achukue...cjui ni yupi?Nilisahau bukta kwenye kamba eneo hilo p'se mwone Hamiss Reception akupe.
Hamisi amesema kuna mdada ulimtuma achukue...cjui ni yupi?Nilisahau bukta kwenye kamba eneo hilo p'se mwone Hamiss Reception akupe.
mmmhhh... nahc si pa kwangu hapa mie wa kukesha!!:love:Hivi kuna ukweli kwamba mliopata wapenzi jf mumesajiri ID nyingine??ili msigundulike kama mnachangia mada zakuwasononesha wapenzi wenu???je nikweli? Mawazo tafadhali.
unamuona Fidel anasema umchukulie bukta hapo savoy aliisahau?Come this way itahusika!!
Hamisi amesema kuna mdada ulimtuma achukue...cjui ni yupi?
Hahaha Fidel inawezekana aliota tu hakuna cha bukta wala nn!unamuona Fidel anasema umchukulie bukta hapo savoy aliisahau?
hajui kuwa wewe unagonga mnyama hapo, kulala unalala kwa Maty.
habari yake binafsi ya kinara wa kugongwa........baolohia imekamatwa?Nimepitia hapa kuwasalimieni..... leo mkoloni kanikamata kikojoleo.
Habari senyu binafsi kwa mpigo?
Babu anarudi kitandani..
unamuona Fidel anasema umchukulie bukta hapo savoy aliisahau?
hajui kuwa wewe unagonga mnyama hapo, kulala unalala kwa Maty.
Halafu nna salamu zako kutoka kwa hamsi hamsini mbili...changarawe!!Ayaaaaaaa nimekumbuka ni MwanaIdd yupo Muziwanda pale usisahau mpwa Iringa Rd.
Hahaha Fidel inawezekana aliota tu hakuna cha bukta wala nn!
Halafu nna salamu zako kutoka kwa hamsi hamsini mbili...changarawe!!
habari yake binafsi ya kinara wa kugongwa........baolohia imekamatwa?
labda wapenzi wa part time.
Siku hizi naota mindoto ya ajabu kweli kweli eti nimeota nimelipia Guest ya $250 duh
Yani ukibadili ID tu unakuwa umegongwa, duh!
ndo maana yake.......au ukiwa na ID mbili unakuwa kuna baolojia ya MwanaJF unaimendea.Yani ukibadili ID tu unakuwa umegongwa, duh!
Hapo chacha!Yani ukibadili ID tu unakuwa umegongwa, duh!
ndo maana yake.......au ukiwa na ID mbili unakuwa kuna baolojia ya MwanaJF unaimendea.