Eti maisha ya seminarini yameniharibu...

kaeso

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
551
96
Heshima wakuu
Nimeishi miaka saba seminarini tangu nilipoanza pre-form one hadi nilipomaliza form six mwaka juzi. Tangu nimemaliza na kurudi rasmi mtaani nimekuwa na wakati mgumu wa kuzoeana na hawa wenzetu wa jinsia ya kike. Nimekuwa sijiamini ninapokuwa mbele ya mabinti, na nimejaribu kuomba ushauri kwa rafiki zangu ambao wamezoea maisha ya mtaani lakini wanaishia kunisanifu kuwa mambo ya mtaani niwaachie wao kwani siyawezi eti kwa sababu seminari imeniharibu, na kuwa ni bora nikarudi huko.
Naombeni ushauri wa namna ya kuweza kujiamini nami nijichanganye mtaani...
 
pole jitahidi dogo au urudi kundini uchunge kondoo wa bwana altare mali yako!
 
Hii kitu wala usihangaike kuomba ushauri mkuu
We ni mwanaume na kama kila kitu kiko salama utazoea tuu wala usihangaike kuomba kwa wenzako wa mtaani
Sana sana watakucheka na kukuona mshamba wakati uwezo unao
Kwanza umri wako mdogo kama ndo umetoka six zingatia kwanza umalize masomo na kama yupo ambaye amekupenda au anakupenda utampata tuu
masuala ya mapenzi siku hizi sio yale ya kujiona wewe ni mjanja
Angalizo tuu tulia dogo maana utajaanguka sehemu ambayo hutarajii na ukajikuta ujnazima ndoto zako zote
 
Wewe unapaswa kuchunga kondoo,achana na sisi kina Prishaz utatuonea altaren,Tumsifu Yesu Kristu fadha
 
That's just transphobia very relatively close to Homophobia, and generally has nothing to do with you seminary background, japo yana mchango fulani ambao ni kuwa ulikuwa confident na hisia zako za woga mbele ya wasichana by then kwasababu mazingira yalikuwa yana promote hofu hiyo and hizo hisia zilikusaidia ku run in the right track.
Sasa hivi upo katika mazingira na desire yako ni kutaka kujaribu ulichokuwa ukikiogopa, thats where your heart start to tremble, feelings za nitajibiwa nini? how does it test like? who is stalking me? what if the majority will know of that and etc, let alone the fear of GOD.
I also been there, so I do understand that kind of experience and feelings.
So don't rush in, bali uwe tabia za Mtakatifu Luka, tabia ya Tai. Kumbuka wasichana si maumbile, bali tabia.
Utajikuta kila wakati (viungo) Moyo na akili zako vinaingia katika mgogoro mkubwa baina ya vyenyewe kwa vyenyewe, lakini ukumbuke somo muhimu ni kuwa ni vizuri kutumia Mioyo yetu kwa ajili ya wengine (sympathy) na ni salama kutumia akili (Logic) zetu kwa mambo yatuhusuyo au tunayohisi ni magumu.

Falling in Love is Great But being in Love is disaster.
 
That's just transphobia very relatively close to Homophobia, and generally has nothing to do with you seminary background, japo yana mchango fulani ambao ni kuwa ulikuwa confident na hisia zako za woga mbele ya wasichana by then kwasababu mazingira yalikuwa yana promote hofu hiyo and hizo hisia zilikusaidia ku run in the right track.
Sasa hivi upo katika mazingira na desire yako ni kutaka kujaribu ulichokuwa ukikiogopa, thats where your heart start to tremble, feelings za nitajibiwa nini? how does it test like? who is stalking me? what if the majority will know of that and etc, let alone the fear of GOD.
I also been there, so I do understand that kind of experience and feelings.
So don't rush in, bali uwe tabia za Mtakatifu Luka, tabia ya Tai. Kumbuka wasichana si maumbile, bali tabia.
Utajikuta kila wakati (viungo) Moyo na akili zako vinaingia katika mgogoro mkubwa baina ya vyenyewe kwa vyenyewe, lakini ukumbuke somo muhimu ni kuwa ni vizuri kutumia Mioyo yetu kwa ajili ya wengine (sympathy) na ni salama kutumia akili (Logic) zetu kwa mambo yatuhusuyo au tunayohisi ni magumu.

Falling in Love is Great But being in Love is disaster.

Huu ni ushauri mzuri kwa mtoa mada!
 
Jaribu kujichanganya na hao wadada baada ya muda utawazoea, hauna tatizo lolote ila ni woga tu ndio unakusumbua!

:A S 465:NB::A S 465::A S 465:
Soma kwanza elimu ni msingi wa kila kitu, ukipata elimu na kazi nzuri hao mademu watajileta wenyewe kwako! Wazuri wanazaliwa kila leo, Naamini ya kuwa Mungu amekuandalia mke mwema kwa ajili yako.
 
That's just transphobia very relatively close to Homophobia, and generally has nothing to do with you seminary background, japo yana mchango fulani ambao ni kuwa ulikuwa confident na hisia zako za woga mbele ya wasichana by then kwasababu mazingira yalikuwa yana promote hofu hiyo and hizo hisia zilikusaidia ku run in the right track.
Sasa hivi upo katika mazingira na desire yako ni kutaka kujaribu ulichokuwa ukikiogopa, thats where your heart start to tremble, feelings za nitajibiwa nini? how does it test like? who is stalking me? what if the majority will know of that and etc, let alone the fear of GOD.
I also been there, so I do understand that kind of experience and feelings.
So don't rush in, bali uwe tabia za Mtakatifu Luka, tabia ya Tai. Kumbuka wasichana si maumbile, bali tabia.
Utajikuta kila wakati (viungo) Moyo na akili zako vinaingia katika mgogoro mkubwa baina ya vyenyewe kwa vyenyewe, lakini ukumbuke somo muhimu ni kuwa ni vizuri kutumia Mioyo yetu kwa ajili ya wengine (sympathy) na ni salama kutumia akili (Logic) zetu kwa mambo yatuhusuyo au tunayohisi ni magumu.

Falling in Love is Great But being in Love is disaster.

Asante sana kwa ushauri wako........nimekuelewa vizuri sana...
 
Heshima wakuu
Nimeishi miaka saba seminarini tangu nilipoanza pre-form one hadi nilipomaliza form six mwaka juzi. Tangu nimemaliza na kurudi rasmi mtaani nimekuwa na wakati mgumu wa kuzoeana na hawa wenzetu wa jinsia ya kike. Nimekuwa sijiamini ninapokuwa mbele ya mabinti, na nimejaribu kuomba ushauri kwa rafiki zangu ambao wamezoea maisha ya mtaani lakini wanaishia kunisanifu kuwa mambo ya mtaani niwaachie wao kwani siyawezi eti kwa sababu seminari imeniharibu, na kuwa ni bora nikarudi huko.
Naombeni ushauri wa namna ya kuweza kujiamini nami nijichanganye mtaani...


malizia wito kijana...mshukuru Mungu kwa hilo wala usitake kuzoeana nao...
 
Wewe ulikuwa seminari ya wapi?! mbona huko wanafukuzwa kwa kukutwa na barua za mapenzi na wengine kufumaniwa?!
 
Back
Top Bottom