Heshima wakuu
Nimeishi miaka saba seminarini tangu nilipoanza pre-form one hadi nilipomaliza form six mwaka juzi. Tangu nimemaliza na kurudi rasmi mtaani nimekuwa na wakati mgumu wa kuzoeana na hawa wenzetu wa jinsia ya kike. Nimekuwa sijiamini ninapokuwa mbele ya mabinti, na nimejaribu kuomba ushauri kwa rafiki zangu ambao wamezoea maisha ya mtaani lakini wanaishia kunisanifu kuwa mambo ya mtaani niwaachie wao kwani siyawezi eti kwa sababu seminari imeniharibu, na kuwa ni bora nikarudi huko.
Naombeni ushauri wa namna ya kuweza kujiamini nami nijichanganye mtaani...
Nimeishi miaka saba seminarini tangu nilipoanza pre-form one hadi nilipomaliza form six mwaka juzi. Tangu nimemaliza na kurudi rasmi mtaani nimekuwa na wakati mgumu wa kuzoeana na hawa wenzetu wa jinsia ya kike. Nimekuwa sijiamini ninapokuwa mbele ya mabinti, na nimejaribu kuomba ushauri kwa rafiki zangu ambao wamezoea maisha ya mtaani lakini wanaishia kunisanifu kuwa mambo ya mtaani niwaachie wao kwani siyawezi eti kwa sababu seminari imeniharibu, na kuwa ni bora nikarudi huko.
Naombeni ushauri wa namna ya kuweza kujiamini nami nijichanganye mtaani...