We dogo rudi zako ukawe padri tu,haya mambo ya kitaani tuachie sie akina senetor tulioshindikana tangu tukiwa nursery school.
Kuwa brother, utakutana na masister.
mkuu wewe hufai kuwa padre na nijuavyo seminary wakigundua tabia yako hii watakufukuza ninyi ndo huwa mnaalibu wake zetu haufai kabisa ni bora uoe mkuu kama nilivyokushauli jiunge hata kwaya ujitwalie wako mkuu umpendaye!hii itakuwa ni laana.
Prishaz mi ningekuwa fadha ningekumwagia upako aisee!BelivdatWewe unapaswa kuchunga kondoo,achana na sisi kina Prishaz utatuonea altaren,Tumsifu Yesu Kristu fadha
Dogo,you need to man yourself up!It seems you have no idea of whatAmbao hata siwafahamu.......:shock:
tumsifu yesu kristu....uo ni wito mdg wangu......bwna mungu anakuita ukachunge kondoo wake...
Heshima wakuu
Nimeishi miaka saba seminarini tangu nilipoanza pre-form one hadi nilipomaliza form six mwaka juzi. Tangu nimemaliza na kurudi rasmi mtaani nimekuwa na wakati mgumu wa kuzoeana na hawa wenzetu wa jinsia ya kike. Nimekuwa sijiamini ninapokuwa mbele ya mabinti, na nimejaribu kuomba ushauri kwa rafiki zangu ambao wamezoea maisha ya mtaani lakini wanaishia kunisanifu kuwa mambo ya mtaani niwaachie wao kwani siyawezi eti kwa sababu seminari imeniharibu, na kuwa ni bora nikarudi huko.
Naombeni ushauri wa namna ya kuweza kujiamini nami nijichanganye mtaani...