Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 455
Hapo jamani mi naona ni kama jamaa anachekesha, anacheka kunako hudhuni kavaa kama anaenda kwenye sherehe kunako hudhuni...yuko serious kweli na nchi yetu huyu? Nawakilisha
Acha ushabiki wa kizungu ndugu, mbona hamumsemi Lipumba aliyeenda na magwanda ya chama? angeenda dr. amevaa combati la mgambo wa kikoloni mngesemaje?
Cha muhimu hapa siyo kuvaa sura ya huzuni wakati mtu unafuraha moyoni kiachoangaliwa ni huzuni ya rohoni. Ujue hata wanaouwa ndugu au wenzao kishirikina huwa ndiyo wanaolia kuliko wote kwenye msiba. Swala la mavazi si letu ndugu ni la waliotutawala. Nchi nyingine kwenye msiba ni white, wengine kanzu na siku hizi misiba ni fasheni kama harusi watu wanavaa sare tena za bei mbaya na wengine kufanya kama uwanja wa kuonesha uwezo wa kifedha ilihali akiwa mgonjwa wala kumuulizia mgonjwa anaendeleaje hakuna.
Cha kumuuliza JK ni kuwa anafikiria nini baada ya jambo hili kubwa utokea?
inasikitiha sana ...
Acha ushabiki wa kizungu ndugu, mbona hamumsemi Lipumba aliyeenda na magwanda ya chama? angeenda dr. amevaa combati la mgambo wa kikoloni mngesemaje?
Cha muhimu hapa siyo kuvaa sura ya huzuni wakati mtu unafuraha moyoni kiachoangaliwa ni huzuni ya rohoni. Ujue hata wanaouwa ndugu au wenzao kishirikina huwa ndiyo wanaolia kuliko wote kwenye msiba. Swala la mavazi si letu ndugu ni la waliotutawala. Nchi nyingine kwenye msiba ni white, wengine kanzu na siku hizi misiba ni fasheni kama harusi watu wanavaa sare tena za bei mbaya na wengine kufanya kama uwanja wa kuonesha uwezo wa kifedha ilihali akiwa mgonjwa wala kumuulizia mgonjwa anaendeleaje hakuna.
Cha kumuuliza JK ni kuwa anafikiria nini baada ya jambo hili kubwa utokea?
Janga na uvaaji havihusiani...... Siku hizi hata kwenye msiba watu wana vaa vizuri..... Kwani wewe ulitaka avae pants?
Mkuu kaniudhi sana mkwere
Huo sio msiba wa familia moja ndugu ni wa Taifa na ichukuliwe kama kitaifa.....Mpaka CNN na BBC wameonesha so ingetakiwa ichukuliwe kama Janga la Kitaifa sio kifamilia mtu wangu...fikiria mara mbili mbili na use your brain sio your macho
huna akili nzuri we.walaumu walokulea kuwa unafuatilia mambo ya kijinga
huna akili nzuri we.walaumu walokulea kuwa unafuatilia mambo ya kijinga
Tatizo la mkwere ni kwamba anachekacheka hovyo...Hata kama ni smiling face ajitahidi kuziba hayo meno yamekuwa yakitafsiriwa vibaya sasa..!!
Mad as a box full of frogs!