Ethiopian Airline Boeing 767 yatua Arusha kwa dharura

BOEING- ET 815 YA ETHIOPIA YATUA KWA DHARURA ARUSHA Dec 19, 2013
Dar es Salaam 19 December 2013

TUKIO LA NDEGE AINA YA BOEING 767-300 MALI YA ETHIOPIAN AIRLINES ILIYOTUA KWENYE UWANJA WA NDEGE WA ARUSHA BADALA YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA KILIMANJARO (KIA) TAREHE 18/12/2013.
Jana majira ya 12;47 mchana , Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia aina ya ya Boeing 767-300 yenye injini mbili na uwezo wa kubeba abiria 260 ilitua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Arusha badala ya Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro- KIA ilipotarajiwa kutua

Ndege hiyo ilikua ikitokea ADDIS ABABA ETHIOPIA ikielekea Kilimanjaro na Mombasa, ilitegemea kutua Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) saa 06:55 mchana katika safari yake ya kawaida ilikuwa na jumla ya watu 213 (Abiria, rubani na wahudumu wa ndege).

Mawasiliano ya kwanza ya ndege na uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro yalikuwa saa 06:29 mchana ambapo rubani alisema ametoka Addis Ababa, Ethiopia kwenda Kilimanjaro akiruka futi 36,000 kutoka usawa wa bahari na alitegemea kutua KIA saa 06:50 mchana.

Muongoza ndege alimwelekeza rubani njia ya kufuata kuelekea KIA hadi atakapouona uwanja na kisha kutua barabara namba 27 (Runway 27). Rubani pia alipewa tahadhari kuwa kuna ndege ndogo imekwama mwanzoni mwa barabara 09 (Runway 09) kutokana na tatizo la kupata pancha na barabara iliyopo ni namba 27 yenye urefu wa mita 3,200 ambazo zinaweza kutumika.

Baada ya kupewa taarifa hiyo, rubani alijibu na kusema atamwita tena baada ya kuachiwa na Nairobi. Baada ya muda mfupi, rubani aliita tena KIA na kuripoti ameachiwa na Nairobi na anaomba kuendelea kuteremka. Muongoza ndege wa KIA alimruhusu kuendelea kushuka hadi hatimaye kufikia futi 7,000.

Baada ya muda rubani akaripoti kwamba amekiona kiwanja na anaomba aendelee kutua kwa macho (visual approach) barabara namba 27. Rubani aliruhusiwa kuendelea kutua kwa kuona, na aripoti akiwa upande wa kushoto wa barabara namba 27.

Baadae rubani aliita tena na kuripoti kwamba yuko upande wa kushoto wa barabara namba 27 na anaiona barabara ya ndege namba 27. Wakati wote alikua kwenye masafa ya KIA (120.1 MHz) na hali ya hewa kwa wakati wote ilikuwa ni nzuri. Baada ya hapo muongoza ndege wa KIA alimruhusu kutua barabara namba 27. Baada ya kutokumuona akitua muongoza ndege wa KIA alianza kuita ndege hiyo bila mafanikio. Wakati muongoza ndege wa KIA akiendelea kuita ndege hiyo, alipigiwa simu na muongoza ndege wa Arusha kumtaarifu kwamba anaiona ndege aina ya BOEING inatua barabara namba 27 Arusha.
Hakuna taarifa ya tahadhari iliyotolewa na marubani wa ndege hiyo ya Ethiopia ET 815, kabla ya kutoa uwanja wa Arusha. Aidha uwanja wa ndege wa KIA ulikuwa unaruhusu ndege hiyo kutua licha ya ndege ndogo ya abiria kukwama mwanzoni mwa bara bara ya 09(Runway 09). Kwa vile bado ilikuwa na bara bara yenye urefu wa mita 3200 ambazo zingeweza kutumika.

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania inashirikiana na Kitengo cha Uchunguzi wa Ajali, Wizara ya Uchukuzi, kubaini chanzo cha tukio hilo. Tayari timu ya wataalamu iko eneo la tukio, hivyo taarifa zaidi zitatolewa uchunguzi utakapokamilika.

Fadhili J. Manongi
Mkurugenzi Mkuu
Mamlaka ya Usafiri wa Anga
19 Desemba 2013
Preta asante kwa taarifa hii, Mkuu PK, kwa taarifa hii, you were right dege limetua Arusha under mistaken identity akifikiri ni KIA, I'm very sorry to doubt you. Samahani sana!.
Pasco
 
Preta asante kwa taarifa hii, Mkuu PK, kwa taarifa hii, you were right dege limetua Arusha under mistaken identity akifikiri ni KIA, I'm very sorry to doubt you. Samahani sana!.
Pasco

Tukio kama hilo la kutua uwanja kimakosa lilitokea huko Wichita, Kansas mwezi uliopita.

 
Last edited by a moderator:
BOEING- ET 815 YA ETHIOPIA YATUA KWA DHARURA ARUSHA Dec 19, 2013
Dar es Salaam 19 December 2013



TUKIO LA NDEGE AINA YA BOEING 767-300 MALI YA ETHIOPIAN AIRLINES ILIYOTUA KWENYE UWANJA WA NDEGE WA ARUSHA BADALA YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA KILIMANJARO (KIA) TAREHE 18/12/2013.
Jana majira ya 12;47 mchana , Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia aina ya ya Boeing 767-300 yenye injini mbili na uwezo wa kubeba abiria 260 ilitua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Arusha badala ya Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro- KIA ilipotarajiwa kutua

Ndege hiyo ilikua ikitokea ADDIS ABABA ETHIOPIA ikielekea Kilimanjaro na Mombasa, ilitegemea kutua Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) saa 06:55 mchana katika safari yake ya kawaida ilikuwa na jumla ya watu 213 (Abiria, rubani na wahudumu wa ndege).

Mawasiliano ya kwanza ya ndege na uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro yalikuwa saa 06:29 mchana ambapo rubani alisema ametoka Addis Ababa, Ethiopia kwenda Kilimanjaro akiruka futi 36,000 kutoka usawa wa bahari na alitegemea kutua KIA saa 06:50 mchana.

Muongoza ndege alimwelekeza rubani njia ya kufuata kuelekea KIA hadi atakapouona uwanja na kisha kutua barabara namba 27 (Runway 27). Rubani pia alipewa tahadhari kuwa kuna ndege ndogo imekwama mwanzoni mwa barabara 09 (Runway 09) kutokana na tatizo la kupata pancha na barabara iliyopo ni namba 27 yenye urefu wa mita 3,200 ambazo zinaweza kutumika.

Baada ya kupewa taarifa hiyo, rubani alijibu na kusema atamwita tena baada ya kuachiwa na Nairobi. Baada ya muda mfupi, rubani aliita tena KIA na kuripoti ameachiwa na Nairobi na anaomba kuendelea kuteremka. Muongoza ndege wa KIA alimruhusu kuendelea kushuka hadi hatimaye kufikia futi 7,000.

Baada ya muda rubani akaripoti kwamba amekiona kiwanja na anaomba aendelee kutua kwa macho (visual approach) barabara namba 27. Rubani aliruhusiwa kuendelea kutua kwa kuona, na aripoti akiwa upande wa kushoto wa barabara namba 27.

Baadae rubani aliita tena na kuripoti kwamba yuko upande wa kushoto wa barabara namba 27 na anaiona barabara ya ndege namba 27. Wakati wote alikua kwenye masafa ya KIA (120.1 MHz) na hali ya hewa kwa wakati wote ilikuwa ni nzuri. Baada ya hapo muongoza ndege wa KIA alimruhusu kutua barabara namba 27. Baada ya kutokumuona akitua muongoza ndege wa KIA alianza kuita ndege hiyo bila mafanikio. Wakati muongoza ndege wa KIA akiendelea kuita ndege hiyo, alipigiwa simu na muongoza ndege wa Arusha kumtaarifu kwamba anaiona ndege aina ya BOEING inatua barabara namba 27 Arusha.
Hakuna taarifa ya tahadhari iliyotolewa na marubani wa ndege hiyo ya Ethiopia ET 815, kabla ya kutoa uwanja wa Arusha. Aidha uwanja wa ndege wa KIA ulikuwa unaruhusu ndege hiyo kutua licha ya ndege ndogo ya abiria kukwama mwanzoni mwa bara bara ya 09(Runway 09). Kwa vile bado ilikuwa na bara bara yenye urefu wa mita 3200 ambazo zingeweza kutumika.

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania inashirikiana na Kitengo cha Uchunguzi wa Ajali, Wizara ya Uchukuzi, kubaini chanzo cha tukio hilo. Tayari timu ya wataalamu iko eneo la tukio, hivyo taarifa zaidi zitatolewa uchunguzi utakapokamilika.



Fadhili J. Manongi
Mkurugenzi Mkuu
Mamlaka ya Usafiri wa Anga
19 Desemba 2013

Hapo kwenye red inakinzana na habari yenyewe.
Ukisoma habari inaonyesha kuwa haikutua kwa dharura bali ni kimakosa.
 
BOEING- ET 815 YA ETHIOPIA YATUA KWA DHARURA ARUSHA Dec 19, 2013
Dar es Salaam 19 December 2013



TUKIO LA NDEGE AINA YA BOEING 767-300 MALI YA ETHIOPIAN AIRLINES ILIYOTUA KWENYE UWANJA WA NDEGE WA ARUSHA BADALA YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA KILIMANJARO (KIA) TAREHE 18/12/2013.
Jana majira ya 12;47 mchana , Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia aina ya ya Boeing 767-300 yenye injini mbili na uwezo wa kubeba abiria 260 ilitua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Arusha badala ya Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro- KIA ilipotarajiwa kutua

Ndege hiyo ilikua ikitokea ADDIS ABABA ETHIOPIA ikielekea Kilimanjaro na Mombasa, ilitegemea kutua Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) saa 06:55 mchana katika safari yake ya kawaida ilikuwa na jumla ya watu 213 (Abiria, rubani na wahudumu wa ndege).

Mawasiliano ya kwanza ya ndege na uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro yalikuwa saa 06:29 mchana ambapo rubani alisema ametoka Addis Ababa, Ethiopia kwenda Kilimanjaro akiruka futi 36,000 kutoka usawa wa bahari na alitegemea kutua KIA saa 06:50 mchana.

Muongoza ndege alimwelekeza rubani njia ya kufuata kuelekea KIA hadi atakapouona uwanja na kisha kutua barabara namba 27 (Runway 27). Rubani pia alipewa tahadhari kuwa kuna ndege ndogo imekwama mwanzoni mwa barabara 09 (Runway 09) kutokana na tatizo la kupata pancha na barabara iliyopo ni namba 27 yenye urefu wa mita 3,200 ambazo zinaweza kutumika.

Baada ya kupewa taarifa hiyo, rubani alijibu na kusema atamwita tena baada ya kuachiwa na Nairobi. Baada ya muda mfupi, rubani aliita tena KIA na kuripoti ameachiwa na Nairobi na anaomba kuendelea kuteremka. Muongoza ndege wa KIA alimruhusu kuendelea kushuka hadi hatimaye kufikia futi 7,000.

Baada ya muda rubani akaripoti kwamba amekiona kiwanja na anaomba aendelee kutua kwa macho (visual approach) barabara namba 27. Rubani aliruhusiwa kuendelea kutua kwa kuona, na aripoti akiwa upande wa kushoto wa barabara namba 27.

Baadae rubani aliita tena na kuripoti kwamba yuko upande wa kushoto wa barabara namba 27 na anaiona barabara ya ndege namba 27. Wakati wote alikua kwenye masafa ya KIA (120.1 MHz) na hali ya hewa kwa wakati wote ilikuwa ni nzuri. Baada ya hapo muongoza ndege wa KIA alimruhusu kutua barabara namba 27. Baada ya kutokumuona akitua muongoza ndege wa KIA alianza kuita ndege hiyo bila mafanikio. Wakati muongoza ndege wa KIA akiendelea kuita ndege hiyo, alipigiwa simu na muongoza ndege wa Arusha kumtaarifu kwamba anaiona ndege aina ya BOEING inatua barabara namba 27 Arusha.
Hakuna taarifa ya tahadhari iliyotolewa na marubani wa ndege hiyo ya Ethiopia ET 815, kabla ya kutoa uwanja wa Arusha. Aidha uwanja wa ndege wa KIA ulikuwa unaruhusu ndege hiyo kutua licha ya ndege ndogo ya abiria kukwama mwanzoni mwa bara bara ya 09(Runway 09). Kwa vile bado ilikuwa na bara bara yenye urefu wa mita 3200 ambazo zingeweza kutumika.

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania inashirikiana na Kitengo cha Uchunguzi wa Ajali, Wizara ya Uchukuzi, kubaini chanzo cha tukio hilo. Tayari timu ya wataalamu iko eneo la tukio, hivyo taarifa zaidi zitatolewa uchunguzi utakapokamilika.



Fadhili J. Manongi
Mkurugenzi Mkuu
Mamlaka ya Usafiri wa Anga
19 Desemba 2013


Hii taarifa hat kama imetoka kwa mkurugenzi mkuu mamlaka ya usafiri wa anga, bado mimi siiamini, maneno ya kusema "pailot alisema" hayawezi kukidhi. Nitaridhika ikiwa nitaona quote za maneno ya huyo pilot.
 
Kwasasa ndege ndo imeondolewa toka ilikokwama, na inakuwa positioned vizuri kwenye runway tayari kwa kufanya take off kesho asubuhi.


kuitoa kwenye udongo ni hatua moja, hatua inayofuata ni kuikagua na sio kuruka, ikikaguliwa kama haitaonekana tatizo ndipo utaratibu wa kuruka unafanyika.
 
Unataka kusema kuwa labda hao wafanyakazi waliingizwa hapo na vimemo (kumbuka KIA ilitumika kutorosha wanyama) na walikuwa wanasimamia kaulimbiu kuu ya "ni upepo tu utapia"!? Hii ni baada ya kufuatilia post ya Atukilia


Aviation Industry ni industry iliyo makini sana na taratibu nzuri sana ,ni industry iliyoendelea sana.Sidhani km wataalamu wetu hawakuwahi sema haya,au kuona kuwa kila sec bila tahadhari ni too late.....namini mama mamunyange angekuwa pale KIA maamuzi yangepita haraka sana.
 
ninapendekeza kwa mamlaka husika kama hii ilikuwa kosa la rubani kutuwa uwanja uliyokaribu na KIA kimakosa na nambari za runway kufanana
kwenye viwanja vilivyokaribu lazima watofautishe nambari za runway, viwanja vingi vya kimataifa huwa wanafanya hivyo ijapokuwa runway 27 na runway 28 kwa kuepuka makosa kama hayo
 
Mkuu Perege, nafikiri sijui nini alikuwa sawa kwa sababu ukiangalia picha yake, ni kuwa ule mtungi wa Engine ni kama umekatwa katikati na ukajisukuma mbele kipande kimoja au kurudi nyuma kipande kimoja. Hapo ndipo upepo unaanza kurushwa mbele na si kurushwa nyuma kama ilivyo kawaida na ndege inafunga break haraka.

Nimebatisha hii FILM hapa na kwa sababu mvua ilikuwa inanyesha, unaona kabisa Mvuke unavyorushwa kwenda mbele wakati mwanzo ikiwa angani hulioni hilo. Ila ni kweli kwamba, ameanza kufanya hivyo sekunde kadhaa baada ya kuwa ameshatua chini na kuwa na uhakika kabisa yupo ardhini na kila kitu kipo safi ndiyo akafungulia upepo wa kwenda mbele.

Angalia picha na angalia video, ndiyo utapata uhakika wa alichokisema Mkuu Sijui nini. Ila niwashukuru wote kwa sababu mmenipa shule nzuri sana ambayo sijawahi hata kuifikiri. Ni juzi juzi tu nilikuwa natua kwenye ndege na My Wife Wangu akawa anapiga picha Bawa la ndege. Nilimwambia jinsi linavyofunguka hakuamini hadi alipoona limefunguka akabaki mdomo wazi. Asanteni sana kwa ku-share ujuzi wenu na sisi.

images
images




Thrust reversal hapa kwenye picha haionekani, huwa upande wa nyuma ya injini (imejificha kwa ndani) na huonekana tu wakati ikifanya kazi, ikimaliza hurudi ndani. Kinachoonekana kimefunguka juu ya bawa ni SPOILLER ambazo hufunguka ili kuondeza 'drag' hswa wakati wa kutua na ndege ikiwa imeshagusa chini. Vilevile inasemekana thust reversa katika hali ya kawaida haiwezi kufunguliwa ndega ikiwa haijakanyaga chini, ni hatari sana kuifungua ndege ikiwa bado angani kwani ndige inweza kukosa balansi na kuanguka.
 
Last edited by a moderator:
Masanja, ile mistari ya Pundamilia kutokana na wingi wake au uchache wake, huwa inakupa haswa urefu wa uwanja. Waweza kuangalia kwenye Google Earth viwanja vikubwa na vidogo au niseme Run Way fupi na ndefu utaona utofauti huo. Bahati mbaya mie nilifanya Project moja tu ya ku-design uwanja wa ndege na ni zamani, mengi niliyosoma wakati ule nimeshasahau labda nipitie vitabu na hiyo hamu sina.

Kukosea uwanja wa KIA na ARUSHA kwa rubani ni HAIWEZEKANI. Ni sawa na kusema kwa sababu Mwanamke ni Mwanamke, basi unaweza kukutana na Mwanamke wa urefu cm 180 mweupee na ukamchanganya na Mkeo mwenye urefu wa cm 160 na mweusi wastani. Ubaya na uzuri wa urubani ni kuwa mara kwa mara wanaenda kupigwa mtihani kuhakikisha kila kitu wanakumbuka. Ndiyo maana ndege zina ajali chache sana.
ninapendekeza kwa mamlaka husika kama hii ilikuwa kosa la rubani kutuwa uwanja uliyokaribu na KIA kimakosa na nambari za runway kufanana
kwenye viwanja vilivyokaribu lazima watofautishe nambari za runway, viwanja vingi vya kimataifa huwa wanafanya hivyo ijapokuwa runway 27 na runway 28 kwa kuepuka makosa kama hayo
 
Hii imenikumbusha Cesna 172 Tango November Paa nikiwa on board na baba yangu alipo teremsha ndege pale Msata barabarani baada ya ndege kuleta itilafu....usiombe
 
Pasco, mie bado naona huyu Rubani kachemka sana. Huwezi kukosea namna hiyo eti kwa sababu ya namba tu. Hizo Namba zilizo kwenye uwanja wala siyo namba ya Barabara ila ni nyuzi ngapi uwanja umekaa kutoka North kama sikosei na kwa Kiingereza wanasema RUNWAY AZIMUTH. Hizi huwekwa kwa kuangalia wastani wa upepo, umekaa direction ipi na kwa Arusha na Moshi, naona hali iko sawa na ndiyo maana namba zinafanana kwa upande mmoja kuwa na 27 na mwingine 09 kama sikosei. Hizo namba hazimsaidii rubani kujua uwanja au sehemu alipo zaidi ya kumwambia direction ya upepo kwa wastani.

Vinavyomsaodia kujua sehemu alipo ni vitu kama GPS na namba za uwanja ambazo pia ziko kwenye Co-ordinate ya Uwanja yaani tuseme North degree fulani na East degree fulani ambapo hiyo point, ipo moja tu duniani.

Pia kuna zile ZEBRA za kwenye uwanja. Wale Pundamilia wakiwa wachache, basi jua kiwanja kifupi kama ilivyo Arusha na Kia wapo wengi na wanaendelea mbele kwa kuwa kwanza Wawili, na mwisho mmoja mmoja. Nimeshasahau kwa sasa ila wale Zebra huwa wanasema kabisa uwanja wa ndege urefu wake ni kiasi kadhaa. Hata upotee vipi, wale Zebra wanakutahadharisha na kukupa urefu wa uwanja. Angalia picha za KIA na Arusha na uone tofauti.

P1030776-300x225.jpg
arusha_airport_runway_by_tanzafari-d4l9rvf.jpg


Arusha Airport Code: http://www.azworldairports.com/airports/a2580ark.cfm

Kilimanjaro Airport Code: http://www.azworldairports.com/airports/a2580jro.cfm
Preta asante kwa taarifa hii, Mkuu PK, kwa taarifa hii, you were right dege limetua Arusha under mistaken identity akifikiri ni KIA, I'm very sorry to doubt you. Samahani sana!.
Pasco
 
Naona kuna new twist to this incident. Kumbe ndege ilikuwa na reserve fuel ya kutosha kufanya diversion to a suitable airport.

http://avherald.com/h?article=46d32419

Incident: Ethiopian B763 at Arusha on Dec 18th 2013, fuel emergency, landing on short runway at wrong airport and runway excursion


By Simon Hradecky, created Wednesday, Dec 18th 2013 20:27Z, last updated Thursday, Dec 19th 2013 09:32ZAn Ethiopian Airlines Boeing 767-300, registration ET-AQW performing flight ET-815 from Addis Ababa (Ethiopia) to Kilimanjaro (Tanzania) with 213 people on board, could not land in Kilimanjaro due to a disabled light aircraft on the runway and entered a holding for about 30 minutes. The crew subsequently declared emergency due to low fuel and began the approach to Kilimanjaro's runway 27 (length 3600 meters/11,800 feet) where the light aircraft was still on the runway near the threshold of runway 09/end of runway 27. The aircraft however touched down on Arusha's runway 27 (length 1620 meters/5300 feet) at 13:15L (10:15Z) and came to a full stop just prior to the runway end. Subsequently the crew turned the aircraft left for backtracking, the aircraft came to a stop with all gear on soft ground. No injuries occurred, the aircraft received no visible damage.

The airline confirmed the aircraft diverted because a Cessna was disabled on the runway of Kilimanjaro, however, did not explain why the aircraft diverted to Arusha (27nm from Kilimanjaro Airport) with too short a runway rather than diverting to Dar es Salaam (Tanzania, 240nm from Kilimanjaro), Mombasa (Kenya, 154nm from Kilimanjaro) or Nairobi (Kenya, 127nm from Kilimanjaro) featuring suitable runways.

An investigation has been opened into the occurrence.

Ground witnesses report, that the crew managed to bring the aircraft to a full stop just before the end of the runway, but then attempted to maneouver the aircraft to backtrack the runway which is when they went off paved surface.

A listener on frequency reported the aircraft was sent into a holding at Kilimanjaro NDB (KB, 293kHz) southwest of Kilimanjaro Airport and south of Arusha Airport. Arusha's runway was visible from the holding with the same orientation as Kilimanjaro's runway (09/27 at 3600 meters length). The crew thus obviously believing to land at Kilimanjaro Airport touched down at Arusha.

Another listener on frequency reported the next day that the crew was advised the Cessna would soon be removed from the runway convincing the crew to remain in the hold. The crew finally called in declaring emergency and reporting that they no longer had sufficient fuel to reach Nairobi, Dar es Salaam or Mombasa (editorial remark: with required minimum fuel reserve remaining intact). Following the emergency the aircraft was cleared to land on Kilimanjaro's shortened runway 27, the crew was told the Cessna was still on the runway near the threshold of runway 09, the Boeing 767 however did not show up at the airport.

Several passengers reported that after holding they were told they were now approaching Kilimanjaro airport, they would land to the west due to the Cessna still near the western end of the runway. The landing was rough as expected, only then it was discovered that they had landed at the wrong airport. After turning onto the grass they were stuck on the aircraft for about 3.5 hours until stairs arrived from Kilimanjaro Airport, in the meantime some emergency exits were opened to re-introduce some air circulation into the cabin and calm discontent amongst the passengers.

Arusha's airport said the aircraft landed in Arusha by mistake, they were not supposed to land at Arusha and did not communicate with Arusha tower. The aircraft came to a complete stand still just before the end of the runway but then went off the runway.

Metars Kilimanjaro:
HTKJ 181100Z 09010KT 9999 FEW032CB SCT033 31/17 Q1012 NOSIG
HTKJ 181000Z 09012KT 9999 FEW030CB SCT031 31/17 Q1012 NOSIG
HTKJ 180900Z 09010KT 9999 FEW028SC SCT280 30/18 Q1013 NOSIG

Metars Arusha:
HTAR 181100Z 33010KT 9999 FEW026 FEW027CB 26/15 Q1016
HTAR 181000Z 33015KT 9999 FEW026CB BKN026 26/15 Q1017
HTAR 180900Z 33010KT 9999 FEW026CB SCT026 26/15 Q1018

Metars Nairobi:
HKJK 181200Z 04010KT 9999 FEW027CB BKN028 25/15 Q1017 NOSIG
HKJK 181130Z 07010KT 9999 BKN027 25/14 Q1017 NOSIG
HKJK 181100Z 06012KT 9999 BKN027 24/14 Q1018 NOSIG
HKJK 181030Z 06011KT 9999 BKN027 25/15 Q1018 NOSIG
HKJK 181000Z 05011KT 9999 BKN027 25/14 Q1019 NOSIG
HKJK 180930Z 06010KT 9999 SCT026 24/14 Q1019 NOSIG
HKJK 180900Z 02010KT 9999 SCT026 23/13 Q1020 NOSIG

Metars Mombasa:
HKMO 181300Z 06008KT 9999 FEW027 31/24 Q1007 NOSIG
HKMO 181200Z 07012KT 9999 SCT027 31/24 Q1007 NOSIG
HKMO 181100Z 35005KT 9999 SCT027 33/21 Q1008 NOSIG
HKMO 181000Z 33015KT 9999 FEW025CB BKN026TCU 32/23 Q1010 NOSIG
HKMO 180900Z 34010KT 9999 FEW025CB BKN026TCU 31/23 Q1011 NOSIG

ET-AQW off the runway (Photos: Regional Air Tanzania):
 
Kukosea uwanja wa KIA na ARUSHA kwa rubani ni HAIWEZEKANI.

Kukosea kutua katika uwanja inawezekana bana. Mbona hii DreamLifter ilitua kimakoa katika uwanja wa Jabara huko Wichita? Na hii imetokea mwezi jana tu!

Tuelezee kama huyo rubani hakutua katika kiwanja kisicho.....

 
Last edited by a moderator:
Itabidi wai-strip hiyo B 767-300 to bare bones hadi iweze kuruka kwenye rwy ya 1.6 km wakati minimum rwy length
for short take off kwa B 767-300 ni 2.85 km.
 
Back
Top Bottom