Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Kwa umati unaouelezea, likigoma kuinuka si itakuwa habari kubwa tena? Anyways, tuwaachie professionals watuondolee hilo dege lao liende salama.....
Rejeeni thread #33 itaondoka bila shida. Bahati mbaya FastJet yuko marekani tungepata bonge ya coverage hapa Arusha.