maswali ya msingi ambayo jk alitakiwa kujibu leo
1, ni kwanini ktk kipindi cha miaka7 ambayo account ya escrow ilifunguliwa tanesco haikufanya jitihada zozote kumaliza swala lake na IPTL?
2 kwanini vip ilipouza hisa zake rugemalila aligawa pesa kwa watu je nini kilikuwa kati yao
3, ni kwanini pcb washuhulike tu na watumishi wa umma? je kama kulikuwa na rushewa au wizi ni nani atadeal na hao maaskofu na wachungi
labda kama unamiliki jeshi maana huo mwaka hakuna uchaguzi tunajikumbusha mapinduzi yab zanzibar.we ni mgeni tz hujasikia mwenye kura 456 katangazwa mshindi na yupo ofisini na mwenye kura 578 katangazwa mshindi wa pili
Justin bila tume huru ya uchaguzi ma ccm wataendelea kushinda maana chochote kinaweza fanyika.... ukawa watashinda ila mwenyekiti wa uchaguzi anaweza hata wekewa bastola sikioni amtangaze mtu wa ccm. ... pigania tume huru na mageuzi ya kweli na si kuahidi upuuzi kwenye jamii...
Labda angesema kama ccm ikishinda kihalali pasi na shaka lkn bado hakupaswa kuweka dau la kifirauni namna hiyo kwani aliyemuumba hapendezwi na ushetani huo. Kijana wewe ni wa thamani sana usijirahisi namna hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.