Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,282
- 105,486
Nimeuliza swali hili mara mbili, hakuna aliyenijibu
Kuna sheria, kanuni na taratibu. Hata kama Rais hajakiuka sheria ni wazi amekiuka taratibu zilizopo miaka 50 iliyopita.
Tukikubali mkanganyiko huu ipo siku tutafanya uchaguzi jumapili matokeo jumatatu na jumatatu hiyo hiyo rais mteule ambaye ni 'Rais kamili' (hapaswi kula kiapo kwasababu ni formality)aliyetangazwa na tume ya uchaguzi akasimama magogoni mlangoni akiwa na mkuu wake wa majeshi, waziri mkuu mteule na baraza la mawaziri(ambao ni wabunge kamili wanasubiri tu kula kiapo ili washiriki shughuli za bunge).
Mbona watu washajibu hili la precedent.
Precedent ni Kikwete mwenyewe tumeambiwa.
Jakaya Kikwete - Wikipedia, the free encyclopedia
Kikwete throve in the military and grassroots party political organisation, mobilisation and administration until 1988 when he was appointed to join the Central Government. President Ally Hassan Mwinyi appointed him Member of Parliament and, simultaneously, Deputy Minister for Energy and Minerals on November 7, 1988