Uda
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 811
- 624
MKURUGENZI Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Bw. Eric Shigongo, anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi na Mwenyekiti wa Global Publishers Ltd, Mzee James Bukumbi, kilichotokea usiku wa kuamkia Jumapili Tarehe 26/8/2012 katika Hospitali ya Burhani jijini Dar es salaam.
Mipango ya mazishi inafanywa nyumbani kwake Kijitonyama, Barabara ya Sayansi, jirani na Heko Motel, Dar es salaam.
Marehemu atasafirishwa kwenda Mwanza kwa mazishi Jumanne 28/8/2012 na maziko yatafanyika kijijini kwake Bupandwamhela,…
source blog yake mwenyewe
RIP baba shigongo,wanaJF tuweke ushabiki pembeni tumpe pole ndg shigongo