Benny EM
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 488
- 347
Habari zenu wakuu,mi ni mmoja wa watu ambao jina langu sijaliona ktk majina yaliyotelewa na bodi,hivyo basi naomba kuuliza kwa yoyote mweny taarif juu ya mustakabali wa waliomba kupitia chuo moja kwa moja(yani equivalent)nimechaguliwa SUA kwa course ambayo ni priorty(Bsc agri econ and agribuc),hapa mawazo yananiumiz juu ya hatma yang y kuendelea kusoma.