Hapa mi sina la kuchangia niliishia Darasa la Saba mwaka 1973 na miaka hiyo elimu ya juu kwetu ilikuwa anasa....
Bora yako uliyeishia la saba, mimi bumu la kwanza lilikuwa ni la kupewa na mzazi nalo ni shamba la ekari kumi, na nikaambiwa ndani ya mwaka nililime lote peke yangu.