Enzi zako za 1st year, Bum (mkopo) la kwanza ulifanyia nini?

Kama ungekuwa na certificate wewe si ungekuwa kalani tu wa mahakama? Hahahah......au ulidanganya ili umpate madam b? Lol

Kamata mwiizi meen Kipipi, vicheche huwa wanajisahau
 
Last edited by a moderator:
Mie nilimalizia za meal and accomodation pale KILITIMES siku hizi panaitwa Sunciro mitaa ya shekilango, ya stationary niliipigia pale Sisimizi bar! Najua wahusika mnapajua pale
 
maisha ya chuo ni anasa sana,kuna jamaa yangu yuko barick kwa sasa,ilikuwa akipata boom baada ya kutoka makumbusho maana ngwasuma walikuwa hawapigi mpaka chweee ikifika mida ya saa 10 wanafunga mziki,jamaa tunakod bajaji tunaenda kumalizia siku kona bar,basi tunakaa pale chini ya bango kuuubwa,,jamaa anaita mjasiria mwili /changu amnyonye dick hapo hapo alipokaa ampe buku tano. Yaani acha tu boom kwa akina dada linaishia kusuka sangita mwenge na kununua vitop wanavyopitisha kwenye vimbweta na kwenda kula UDAS zikiwaishia wanahamia manzese..

Lakini bhana,wanachuo malaya sana,yani Boom lote laishia kwa wauza sukari tamu.
 
heheh......ubahili wako ulikuwa na nguvu zaidi, na we kwakuwa tu shemeji alikuwa anawajibika! Lol


hahahahahhajaaa acha tu, nakumbuka kuna somo lilikuwa na manotes ya kutoa kopi, walahiiii nilikua nanunajeeeeeee
 
Ok. Sawa umepata kazi. Je, sibado unalipia mkopo? Unajisikiaje hiyo hrla unayokatwa ukikumbuka ulifanyia upuuzi kulilko ilivyokusudiwa? Hakuna kitu kama age justification kwenye maturity. My bro is 18 and he knows how to keep his little money. He spends it responsibly. Tunasahau adha tupatayo tunapokuwa tunatafuta hela, lakini tukizipata tunatumia kama tuliziokota. Whenever you spend your money think of energy spent getting the money. Otherwise hongera kwa kazi yako

Sikufanyia upuuzi, kunywa beer sio upuuzi, kuna wengine wanajibana halafu pesa yote wanaonga wanawake wanaowaletea ukimwi, si bora mimi mlevi, also kuna watu waliokuwa wastaarabu those days on campus wamepata kazi ndo wamekuwa washenzi na wahuni kupindukia,, kwa mtu kama mimi huwezi ukaniletea habari za pombe au club mda huu as sikuruka stage nimeshakunywa sana, datings sana, na kama disco sana,

So nilikuwa naenda na stage kaka those days... as nowdays nimeacha kabisa hata beer nakunywa za afya tu wekend as I am 26 by now naandaa mazingira ya ku ring bells after 2 years na kuwa responsible father Mungu akipenda...
 
Mie nilimalizia za meal and accomodation pale KILITIMES siku hizi panaitwa Sunciro mitaa ya shekilango, ya stationary niliipigia pale Sisimizi bar! Najua wahusika mnapajua pale

hahahahahaaaaa wenye bar wanafaidi boom
 
loh..............
Mie nahisi nilikuwa either mshamba or bahili.....
Ila nashukuru boom nilikuwa nalisave....maana starehe yangu ilikuwa kula na ni mara moja moja.....(most of the time shem wako alikuwa anacover teh teh teh).....

Ila nilipomaliza chuo nilikuwa na savings ya kutosha, ilinisukuma kwenda kutafuta ajira, na Mungu alivyo mwema ndani ya miezi miwili nilipata kazi na nikaimalizia kwa kuifanya nauli ya kwenda ofsini....... Hata graduation imenikuta nipo kwa job...

Ubahili oyeeeeeeee

BT,
Sio ushamba yani ukiendekeza starehe ukiwa chuo unaweza filisika kbs.
 
Mie nilimalizia za meal and accomodation pale KILITIMES siku hizi panaitwa Sunciro mitaa ya shekilango, ya stationary niliipigia pale Sisimizi bar! Najua wahusika mnapajua pale

Dah,yani Enzi hzo ukimsikia mwanaume anaenda pale Kilitime ujue anaenda kununua utamu.
 
Heshima kwenu wadau,, naona madogo wanaoanza first year wanajaza thread tu za bum huko jukwaa la elimu,, nadhan hii stage wengi tumepitia hasa tuliosoma undergraduate Tanzania...

Je wewe bum lako la kwanza ulifanyia nini?

Enzi zangu nakumbuka mara ya kwanza nilipewa kama laki 6 hivi unusu, enzi naanza first year Mzumbe.. Nilipoziona zimeingia tu bank nikadraw kama Lak 4 nikaenda town kununua home theatre kama lak 2 na nusu hivi then nikawashtua washkaji zangu wa high school tukaenda kwa baunsa ( bar moja maarufu mzumbe kujipongeza kwa kuanza first year) mpaka narudi geto nimebaki na elfu 25 tu...

Khe wenzetu mlikuwa mmeendelea aisee, boom la kwanza unalikutia bank, very good, palikuwa Na vidirisha maeneo ya Auxliary dept- UDSM, unaambiwa unakula folen kwanza Kwa muda wa kutosha, afu Apo washambawashamba tunawaza kununua school prospectors kutoka wanafunzi Wa mbele yetu, Mtu anakuuzia prospectus Kwa 20,000 anakwambia usiponunua Na Almanac you are gone Kumbe vitu vinapatikana bure kabisa.. Watu wana zambi.. That time nakumbuka tulikuwa tunapewa 115,000 Kwa term ya siku 120, there was no mobile phone.. Basi nusu unatuma home kuwasuuza Wazee kwamba kidume uko Kilani, Kama 30,000 hivi inatumika kusaka ubavu(Kama hujui ubavu manake Nini shauri lako.. Ni kipande Cha kitanda) Na hapo Shule inapoanza kuchukua kasi kidume mfukoni kumeshakauka siku nyingi Basi unakuwa kipenzi Cha maada Za slabs hasa zile Za migomo. FOE(faculty of Engineering)achana nayo
 
Enzi hizo ndio Bar ya Igongwe kumekucha.
Utanikamatia wapi?

Bum lote nililifyeka pale.
Bora tu ilivyokufa maana roho ilikuwa inaniuma kila ninapoiona ile Bar enzi hzo nikienda Mwenge.




Usitudandanye hapa Igongwe imekufa 2002 na wewe wakati huo ulikuwa na miaka 9,hilo BUM ulipewa na nani..??
 
Hapa mi sina la kuchangia niliishia Darasa la Saba mwaka 1973 na miaka hiyo elimu ya juu kwetu ilikuwa anasa....
 
Kama ungekuwa na certificate wewe si ungekuwa kalani tu wa mahakama? Hahahah......au ulidanganya ili umpate madam b? Lol


Kuna neno nimelipata hapa na huyu bwana hatanisumbua tena kumbe karaniiiiiiiiiiiiiiiiiiii..............
 
Yaani bum anasa sana, nilishika hela nyingi za kwangu mwenyewe for the first time, as mzazi halijua sitapata bum kwa shule nilizosoma sekondari, sasa akanipa ada kama m 1 hivi na pocket money kama mia 5 hivi kumbe muhuni nilijaza fomu kimya kimya kutest zali, he mgodi ukatema kufika chuo nikapigwa hizo 600, kufatilia ada nikaambiwa nachangia lak 2 tu,, nikalipa fasta lak 2 yao,,, for the first time account ikawa na kama million 2 ya kwangu mwenyewe... Yaani hiyo semester niliingiza suplementary za ajabu maana ( mi ugonjwa wangu kwenye beer tu)... Yaani nikitoka pindi tu bar...

Mother alikuja kushtuka third year baada ya kutonywa na sister angu kwamba napata bum.. ( Nilijichanganya kumpa ukweli sister home kuwa nina bum).... But kusema kweli pesa za magumashi zinakuwa kama na mapepo hakuna cha maana zaidi ya anasa tu,

Najuuta baada ya kuanza kazi tu HELSB wananikata bum lao, sina hamu

:lol::lol::lol: Hela ya boom ni kama ya mererani vile.. funga fungua unamadeni kila kona.
 
wajua kila jambo na wakati wake, 2lipita vyuon 2mepata hayo mabum na kuyatumia kama mahitaj ya wakati huo yalivyopasa,binafc nimeruka debe sana2,viwanja vya bills,meeda,sansiro,club maisha vilikuwa kama cafeteria kwangu, now am working lakin hata chanc ya kwenda kwenye hzo kumbi cna so ni vyema kuish according 2stages za maisha
 
Mimi km kawa Boom langu linaishia TJ pub ndani ya nyegezi kona, hapa saut mwanza

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom