Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,148
Yaani upate zero then uende A level kwa marks gani sasa
Au unatumia jina na cheti cha mtu hapo kusomea hiyo degree yako
Wakili mla rushwa tuu hakuna kubobea wala nini
Mbona mnamshambulia wakati kajieleza nyie ndio hamjamuelewa.
Kasema ali re seat mtihani akaingia 5&6 ndio akapiga One.