Dah kwel humu kumejaa watoto, ila sio mbaya ndo taifa la kesho. ivi nan anakumbuka ule mtian uliofutwa form 4 ukarudiwa nch nzima?
Duh! Kumbe JF watoto wengi, inabidi tuwe makini na posts zetu!
Yaani upate zero then uende A level kwa marks gani sasa
Au unatumia jina na cheti cha mtu hapo kusomea hiyo degree yako
Wakili mla rushwa tuu hakuna kubobea wala nini
Na wewe ni chalii mwingine wa 200... Ndo maana ukaogopa kumalizia na tena inawezekana ndo uko form six sasa unapambana na paperDiv.2 pnt 20, mwaka 20... Pale klerruu sec ... Iringa.
Wani ya pwenti saba pale Ilboru mwaka 1976...
Aise uuchune usije ukasema jina hapa
Nitakuombea ban ya milele kwa Paw
III ya 17
nadhani umeelewa.
Sikumbuki but what I know I went through to the university level. Kwani kwanini sijui nobody knows
Mbona cjaona alyepata foo ka ya mwanaasha?