Hivi pete ina maana yoyote? Binafsi mm naona ni roho yako ndani kama umemkubali mchumba ako na nafsi yako ikaridhia basi haina haja ya kuweke pete unataka umwonyeshe nani?
lakini inaweza isiwe na kidani kama ile ya mwnamke....hiyo je FL?
Ndio maana mi nimepanga nikimchumbia mtu namvisha kitambaa cheusi mguuni kama alama badala ya peteHivi pete ina maana yoyote? Binafsi mm naona ni roho yako ndani kama umemkubali mchumba ako na nafsi yako ikaridhia basi haina haja ya kuweke pete unataka umwonyeshe nani?
nauonesha umma am proud of whoever aliyenivisha na nampenda ile mbaya!!!
Pete (Mtu kachumbiwa), Kiremba(Huyo ni sister) Hijabu (Mama Muislam safi), Joho (Jaji, Askofu, Advocate n.k), Traffic Police(Kofia nyeupe). Hapa suala si pete au utambulisho wowote, bali ni roho ya mtu, commitment, trustful, maadili aliyonayo mtu n.k.
-Aliyechumbiwa pamoja na pete-bado ana boyfriend, pete inasahaulika wanafanya ngano
-Masister pamoja na viremba vyao-vinavuliwa mapdre wanapandilia juu
-Wavaaji wa hijabu-Huvua hijabu wanapofika guest house na kufanya ngono
-Majoho-Jaji anachukua rushwa, Askofu anaiba hela za Dayosis, Advocate rushwa kwa kwenda mbele
-Traffic police- pamoja na kofia zao nyeupe-wanakula rushwa.
maumivu ya kichwa huanza taaaratibuPete (Mtu kachumbiwa), Kiremba(Huyo ni sister) Hijabu (Mama Muislam safi), Joho (Jaji, Askofu, Advocate n.k), Traffic Police(Kofia nyeupe). Hapa suala si pete au utambulisho wowote, bali ni roho ya mtu, commitment, trustful, maadili aliyonayo mtu n.k.
-Aliyechumbiwa pamoja na pete-bado ana boyfriend, pete inasahaulika wanafanya ngano
-Masister pamoja na viremba vyao-vinavuliwa mapdre wanapandilia juu
-Wavaaji wa hijabu-Huvua hijabu wanapofika guest house na kufanya ngono
-Majoho-Jaji anachukua rushwa, Askofu anaiba hela za Dayosis, Advocate rushwa kwa kwenda mbele
-Traffic police- pamoja na kofia zao nyeupe-wanakula rushwa.
FL kwa nini sis tunavaa?
Pete (Mtu kachumbiwa), Kiremba(Huyo ni sister) Hijabu (Mama Muislam safi), Joho (Jaji, Askofu, Advocate n.k), Traffic Police(Kofia nyeupe). Hapa suala si pete au utambulisho wowote, bali ni roho ya mtu, commitment, trustful, maadili aliyonayo mtu n.k.
-Aliyechumbiwa pamoja na pete-bado ana boyfriend, pete inasahaulika wanafanya ngano
-Masister pamoja na viremba vyao-vinavuliwa mapdre wanapandilia juu
-Wavaaji wa hijabu-Huvua hijabu wanapofika guest house na kufanya ngono
-Majoho-Jaji anachukua rushwa, Askofu anaiba hela za Dayosis, Advocate rushwa kwa kwenda mbele
-Traffic police- pamoja na kofia zao nyeupe-wanakula rushwa.
ndo hapo sometimez mie huwa sioni hata kwa nini sisi tunavaaa