Fugwe
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,676
- 656
eeeh bwana fugwe hilo nalo neno
FL,
Unajua yanakera sana, natamani kulia lakini siwezi ntapambana tu
eeeh bwana fugwe hilo nalo neno
FL,
Unajua yanakera sana, natamani kulia lakini siwezi ntapambana tu
Hapa suala si pete au utambulisho wowote, bali ni roho ya mtu, commitment, trustful, maadili aliyonayo mtu n.k..
Hapa umenena mm nina rafiki yangu anafanya kazi Guest iwa ananipa pete nimuuzie walizo sahau hawa wanao sema utambulisho kwa wiki pete si chini ya kumi watu wanasahau Guest.
prove by bringing those to zero pub uwaoneshe wapwa na biafra utuoneshe mimi na akina ZD pale twaweza kuziombea
we you are making up sasa!!! prove by bringing those to zero pub uwaoneshe wapwa na biafra utuoneshe mimi na akina ZD pale twaweza kuziombea
hahahaaaa, dah.Hahaha! Pale zero pub mpwa alishaletaga pete mbili tukabadilisha na kreti nne za bia, wapwa tukaendeleza libeneke. Kama unabisha nenda pale kamuulize Eliza.
hahahaaaa, dah.
kama kawaida bandika bandua chuichui.
Hahaha! Pale zero pub mpwa alishaletaga pete mbili tukabadilisha na kreti nne za bia, wapwa tukaendeleza libeneke. Kama unabisha nenda pale kamuulize Eliza.
wewe na huyo Eliza shauri yako!!! ZD atakuonfezea majukumu na ya kumfumua weaving ili tu muda wako uwe mfinyu
Mimi ninadhani engagement ring has a lot to do with urembo kuliko identification. Kuna akina dada kibao ninawaona wakiwa na hizo rings vidoleni lakini hawako officially engaged ama walikuwa engaged vichochoroni.
Partly inaweza kuwa ni sehemu ya mila kama ilivyo pale mtu anapokwenda kupeleka mahari kwa bibi harusi, ama kupeleka barua ya posa na mengineyo. Mambo mengi yanayopelekea ndoa huwa yanaelekezwa direction moja.
bht kama unataka kuwa activist, basi inabidi uanze na kubadilisha hiyo direction. ukifanikiwa, posa zinaweza kwenda eitherway, binti akinizimikia anabandika pete ya uchumba ili msichana mwingine asije akajipitisha, na akijipitisha ana haki ya kumpa kipondo cha uhakika.
kwa sababu manaume mara nyingi ndo wana-aproch ingawaje now days wanawake now wamo..., mwanamke akishavaa engagement ring mens wanapunguza speed.
ni kweli wanajigonga sana ila si kunakuwa na kauzibe tayari?! so anakuwa hanauhuru sanahahaha nani kakwambia wanapunguza ndo wanajifanyisha ooh hivi kwa nini sijakuona ,jamani nani huyo kaniwahi ,mala ooh jamani mrembo nilikuwa wapi siku zote teteteteh nia yake mmmh hata simaliziii......