Eng.Nsiande na Majibu ya Tatizo la Nishati ya Umeme - Must Read

tatizo shirika limejaa wanasiasa na si wataalamu, tatizo watanzania kila kitu tunaendesha kisiasa. Opportunities zipo kibao lakini no use, tanesco no good. sasa hivi tanesco ilitakiwa nguvu zote waelekeze kwenye vyanzo kwanza. Lakini pia wakati umefika sasa wakuligawa shirika yahani Uzalishaji, Usafirshaji na Ugavi kwishne vinginevyo tutendelea kucheza ngoma ile ile ya mdundiko huku tunacheka tu.
 
I can feel u Tausi, kuna Power System Master Plan..hii inaonyesha roadmap and is updated yearly..sadly govt don't buy it...Mwanzoni mwa mwaka watu wa hali ya hewa walisema kabisa kutakuwa na upungufu wa mvua...Contingency ni kukodi mitambo ya dharura.. Sasa now the pain...mitambo ya Aggreko ni 55bn inatumia diesel itazalisha 100Mw umeme utauzwa kwa hasara...ndio maana contingecy inasuck up pesa sana na Japan wameikataa wamesema watafanya mgao for 2yrs mpaka hali iwe nzuri...Nikisum up ni jukumu la serikali kuufanyia kazi huo mpango wa umeme short of that we r doomed, miradi hii kuianza ni trillions! Look @ Uganda, Mu7 with aLl his shams amejenga Bujagali, anatoa subsidy hiyvo bei ya umeme ni affordable though only 5% of his population has it...

Japan hakuna mgao wa umeme. Pia wamewekeza kwenye thermal plants Kama Mitambo ya dharura

Japan pia Solar si competitor wao. Unashauriwa kuweka sola na umeme utakaozalisha ukiwauzia kampuni ya umeme unalipwa gharama kubwa zaidi kuliko wakikuuzia wao umeme. And this is the case kwa nchi zilizoendelea zenye uwezo wa kuwapatia watu umeme bila ya Shida. Ujerumani, marekani, uingereza wote wana mfumo huo.

Inashangaza sana kuambiwa solar ni competitor Tanzania wakati Tanesco is bleeding in all it's pores to meet that small demand we have
 
Tanesco kisha wanashangaza wanasema umeme unapotea kwenye distribution wakati wanawataka wateja wao wajinunulie transformers wenyewe (wale wa T2 tariff)! Hawa wateja wananunua transformers zenye capacity kubwa hata mara tatu ya maximum demand yao, matokeo yake umeme unapotea na gharama inakuwa kwa Tanesco.
 
Japan hakuna mgao wa umeme. Pia wamewekeza kwenye thermal plants Kama Mitambo ya dharura

Japan pia Solar si competitor wao. Unashauriwa kuweka sola na umeme utakaozalisha ukiwauzia kampuni ya umeme unalipwa gharama kubwa zaidi kuliko wakikuuzia wao umeme. And this is the case kwa nchi zilizoendelea zenye uwezo wa kuwapatia watu umeme bila ya Shida. Ujerumani, marekani, uingereza wote wana mfumo huo.

Inashangaza sana kuambiwa solar ni competitor Tanzania wakati Tanesco is bleeding in all it's pores to meet that small demand we have
Japan kuna mgao wa umeme after the natural disaster and it will be there for 2 years, they urged other companies to sell the solar and other renewable energy to its citizens, they can't fix the natural calamities without loadshedding for 2yrs and they were bold enough to say they won't get rentals and themal to do it bcoz its just so expensive.

So, local companies do the solar thing there, actually their electricity sector had been regulated since the 80'sIn other parts Solar is operated for distribution by other companies and not the core utility and as for here solar can be used in generation. There are companies already doing the solar business and common mwananchi can get it from them, not from the state owned utility, u may give reference on state owned utilities that run parralel(sp) with solar for distribution

...u will find solar is there for generation only and thts what the utility is doing right now. So yes though inashangaza to say it but literally tht is a competitor and its done already by other companies locally and this helps to build the local capacity but it won't do for utility now to go solar for this loadshedding of 6months alone
 
Tanesco kisha wanashangaza wanasema umeme unapotea kwenye distribution wakati wanawataka wateja wao wajinunulie transformers wenyewe (wale wa T2 tariff)! Hawa wateja wananunua transformers zenye capacity kubwa hata mara tatu ya maximum demand yao, matokeo yake umeme unapotea na gharama inakuwa kwa Tanesco.
Umeme unaopotea kwenye distribution ni technical and non technical, hakuna nchi yoyote duniani isiyo na losses kinachotofautiana ni % ya loss.

Umeme utapotea hata ukiweka transformer kama distribution network ni aged..mostly tarrif 2 hawaweki transformers wenyewe, unapozalisha kuna upotevu, sio mwingi sana.

Unaposafirisha unapotea, unaposambaza pia kuna upotevu, kuna agreeable loss ambayo ni calculated per intenational standard inayozidi hapo inabidi ifanyiwe kazi kwa mfano umepimiwa load ikawekwa transformer but ukiendelea kuongeza mzigo (eg mashine 3 zenye capacity tofauti) viwanda vingi vinafanya haya unaona kunatokea upotevu na inapiti kuimprove voltage na load, ss tht can't be done squarely as in when u ask for the load u r expected to atleast keep it @ tht level for a year or two ongezeko lolote ndio lina-flactuate na for third world country system its a long way to go
 
Kudos Eng.Nsiande....
Endelea kutoa somo my dear!..I recommend that TANESCO appoint you the Chief Spokesperson coz lady..u know the stuff...u make a lot of sense kuliko hao wengine tunaowasikia!!

Halafu hebu tuambie...hawa vijana wanaozagaa mitaani kwenye nyumba za watu wakidai kuona bill za umeme wakati watu wanalipa LUKU... ni vijana wenu au vishoka? Kama ni wenu hamuoni mnawahatarishia maisha maana watu wako so fed-up na mgao, watu hawana umeme, kisha mnakuja kuongeza chumvi kwenye kidonda!
 
Usitie shaka kabisa, kuna watu wanafanya hiyo biashara ya solar, Kwa sasa kuna wazo la kugenerate thru solar huu mradi uko REA kama sikosei,Hivyo itatumika katika generation sio kuuza to housholds

Nsiande.. naomba kidogo utusaidia (I have some ideas kidogo) kujibu maswali haya mawili:

a. Tuna mabwawa mangapi ya kuzalisha umeme?
b. Yana uwezo wa jumla wa kuzalisha MW ngapi za umeme at maximum capacity?
c. Sasa hivi yanazalisha kiasi gani?
d. Ukiondoa tatizo tulilolizoea la "kina cha maji" ni kitu gani kingine kinazuia kuzalisha at maximum capacity?
e. Nini kinafanyika kuhusiana na hilo la "d"?

Shukrani.
 
Japan kuna mgao wa umeme after the natural disaster and it will be there for 2 years, they urged other companies to sell the solar and other renewable energy to its citizens, they can't fix the natural calamities without loadshedding for 2yrs and they were bold enough to say they won't get rentals and themal to do it bcoz its just so expensive.

So, local companies do the solar thing there, actually their electricity sector had been regulated since the 80'sIn other parts Solar is operated for distribution by other companies and not the core utility and as for here solar can be used in generation. There are companies already doing the solar business and common mwananchi can get it from them, not from the state owned utility, u may give reference on state owned utilities that run parralel(sp) with solar for distribution

...u will find solar is there for generation only and thts what the utility is doing right now. So yes though inashangaza to say it but literally tht is a competitor and its done already by other companies locally and this helps to build the local capacity but it won't do for utility now to go solar for this loadshedding of 6months alone

I'm talking from Japan right now. Hakuzimwi umeme hapa. Get your facts right. Na nnapokwambia wamefungua mitambo ya dharura ya thermal sio longolongo la kwenye taarifa za habari za TBC, nimeiona.

Kampuni za umeme hazifungii mteja mmoja mmoja umeme wa sola, lakini kinachofanya ni kushirikiana kiufundi na wazalishaji wakubwa wa umeme wa sola. Kama kuna apartment buildings complex zenye uwezo wa kuzalisha umeme ambao utaingia kwenye grid wakati wa mchana, kampuni za umeme zinatoa ushirikiano wote wa namna ya kuset up hiyo system, pamoja na kuwapatia capacitors, inverters na makorokoro mengine kwa kila apartment na bei ya umeme wa mchana na usiku inakuwa tofauti ili wateja wanaoiuzia grid ya taifa wapate kurudisha pesa yao ya uwekezaji haraka.

(mfumo huo unatumika all over the developed world, I worked for this in Germany too na Uingereza pia upo wakati Tanzania mteja akizalisha umeme mwingi zaidi ya anavyouhitaji, inamaana unapotea coz nyinyi Tanesco hamjaanza na wala hamna nia ya kuingia kwenye feed-in tariff even though gharama za mfumo wa umeme wa sola zinachangiwa zaidi na battery ya kuhifadhi umeme)

Pili kampuni za umeme zinauzia na kufungia mteja mmoja mmoja vifaa vya kuzalisha umeme kutoka biomass ili kupunguza demand wala hawajaitaja kuwa ni competition kwao.

Kampuni za gesi, zinauzia wateja solar panel water heaters na kuwafungia system nzima, ili kupunguza demand ya gas for water heating. (wala hii hawajaichukulia kama competition)

Niuzembe kuwa huwezi kufikia wala kutimiza demand lakini ukang'ang'ania na utaratibu wako bila ya kufikiria mahitaji ya wateja wako. Huwezi kuzalisha umeme kwa whatever unazalisha na ukashindwa, lakini ukashindwa kufikiria njia nyengine za kukidhi hitaji la mteja wako.

Kama shirika la umma, hitaji la mteja lilihitaji kupewa first priority
 
Nsiande.. naomba kidogo utusaidia (I have some ideas kidogo) kujibu maswali haya mawili:

a. Tuna mabwawa mangapi ya kuzalisha umeme?
b. Yana uwezo wa jumla wa kuzalisha MW ngapi za umeme at maximum capacity?
c. Sasa hivi yanazalisha kiasi gani?
d. Ukiondoa tatizo tulilolizoea la "kina cha maji" ni kitu gani kingine kinazuia kuzalisha at maximum capacity?
e. Nini kinafanyika kuhusiana na hilo la "d"?

Shukrani.


Kwa kuongezea MMKJJ
Najua Pangani wanauza umeme Pemba ambako hakuna mgao. Je kwanini kuuza umeme huko wakati bara giza linapamba moto? Hiyo surplus inatoka wapi au kuna nini?
 
Umeme unaopotea kwenye distribution ni technical and non technical, hakuna nchi yoyote duniani isiyo na losses kinachotofautiana ni % ya loss.

Umeme utapotea hata ukiweka transformer kama distribution network ni aged..mostly tarrif 2 hawaweki transformers wenyewe, unapozalisha kuna upotevu, sio mwingi sana.

Unaposafirisha unapotea, unaposambaza pia kuna upotevu, kuna agreeable loss ambayo ni calculated per intenational standard inayozidi hapo inabidi ifanyiwe kazi kwa mfano umepimiwa load ikawekwa transformer but ukiendelea kuongeza mzigo (eg mashine 3 zenye capacity tofauti) viwanda vingi vinafanya haya unaona kunatokea upotevu na inapiti kuimprove voltage na load, ss tht can't be done squarely as in when u ask for the load u r expected to atleast keep it @ tht level for a year or two ongezeko lolote ndio lina-flactuate na for third world country system its a long way to go
Out of wateja 20 wa T2 tariff niliokutana nao, 20 wote walikuwa na transformers zao walizojinunulia. Wapo walionunua transformers 2 kwa jengo lao moja na ukitizama maximum demand yao haifikii hata theluthi ya capacity ya transformer hizo.

Kusema kuwa wateja hawafati masharti sijui wanajiongezea mashine, ni uzembe wa Tanesco kama wanashindwa ku enforce sheria zilizopo kwa wateja wao.

Nakumbuka report moja niliyosoma ya Tanesco inasema kuna loss ya 25% na asilimia kubwa tu ni non-technical (10?) (The report is from Ministry of Energy and Minerals). Ripoti nyengine inaonyesha kuwa wateja wengi wa D1 hawafai kuwepo kwenye kundi hilo la kulipia gharama ndogo za umeme. (Report on Financial consultancy done for Tanesco)

In reality hakuna mfumo wa maana wa management of resources huko Tanesco, na tutaendelea kulala gizani kwa sababu even on a non-peak day (weekend) demand haikidhwi na generation ya hydro peke yake. Lazima gesi itumike.

Utasikia gesi hakuna Tanzania, kwani hamkufanya makadirio mkaagiza mapema? Au mafuta hakuna kwanini hamkuagiza mapema?
 
Out of wateja 20 wa T2 tariff niliokutana nao, 20 wote walikuwa na transformers zao walizojinunulia. Wapo walionunua transformers 2 kwa jengo lao moja na ukitizama maximum demand yao haifikii hata theluthi ya capacity ya transformer hizo.

Kusema kuwa wateja hawafati masharti sijui wanajiongezea mashine, ni uzembe wa Tanesco kama wanashindwa ku enforce sheria zilizopo kwa wateja wao.

Nakumbuka report moja niliyosoma ya Tanesco inasema kuna loss ya 25% na asilimia kubwa tu ni non-technical (10?) (The report is from Ministry of Energy and Minerals). Ripoti nyengine inaonyesha kuwa wateja wengi wa D1 hawafai kuwepo kwenye kundi hilo la kulipia gharama ndogo za umeme. (Report on Financial consultancy done for Tanesco)

In reality hakuna mfumo wa maana wa management of resources huko Tanesco, na tutaendelea kulala gizani kwa sababu even on a non-peak day (weekend) demand haikidhwi na generation ya hydro peke yake. Lazima gesi itumike.

Utasikia gesi hakuna Tanzania, kwani hamkufanya makadirio mkaagiza mapema? Au mafuta hakuna kwanini hamkuagiza mapema?
This is deep!
BUT WHAT DO YOU MEAN HAKUNA GESI?
 
I'm talking from Japan right now. Hakuzimwi umeme hapa. Get your facts right. Na nnapokwambia wamefungua mitambo ya dharura ya thermal sio longolongo la kwenye taarifa za habari za TBC, nimeiona.

Kampuni za umeme hazifungii mteja mmoja mmoja umeme wa sola, lakini kinachofanya ni kushirikiana kiufundi na wazalishaji wakubwa wa umeme wa sola. Kama kuna apartment buildings complex zenye uwezo wa kuzalisha umeme ambao utaingia kwenye grid wakati wa mchana, kampuni za umeme zinatoa ushirikiano wote wa namna ya kuset up hiyo system, pamoja na kuwapatia capacitors, inverters na makorokoro mengine kwa kila apartment na bei ya umeme wa mchana na usiku inakuwa tofauti ili wateja wanaoiuzia grid ya taifa wapate kurudisha pesa yao ya uwekezaji haraka.

(mfumo huo unatumika all over the developed world, I worked for this in Germany too na Uingereza pia upo wakati Tanzania mteja akizalisha umeme mwingi zaidi ya anavyouhitaji, inamaana unapotea coz nyinyi Tanesco hamjaanza na wala hamna nia ya kuingia kwenye feed-in tariff even though gharama za mfumo wa umeme wa sola zinachangiwa zaidi na battery ya kuhifadhi umeme)

Pili kampuni za umeme zinauzia na kufungia mteja mmoja mmoja vifaa vya kuzalisha umeme kutoka biomass ili kupunguza demand wala hawajaitaja kuwa ni competition kwao.

Kampuni za gesi, zinauzia wateja solar panel water heaters na kuwafungia system nzima, ili kupunguza demand ya gas for water heating. (wala hii hawajaichukulia kama competition)

Niuzembe kuwa huwezi kufikia wala kutimiza demand lakini ukang'ang'ania na utaratibu wako bila ya kufikiria mahitaji ya wateja wako. Huwezi kuzalisha umeme kwa whatever unazalisha na ukashindwa, lakini ukashindwa kufikiria njia nyengine za kukidhi hitaji la mteja wako.

Kama shirika la umma, hitaji la mteja lilihitaji kupewa first priority
Gaijin, hayo yoote unayoyasema ya tarrif ni ya kuwa regulated na REA,

Huo mgao upo unaweza usimpact domestic users lakini kwenye Paris utility convetion walikuwepo na na walisema hivyo na huo mkutano umemalizika last week na they said that's the only option as GE will be expensive on thermal so you if u have access to those details u will get it, mgao unaweza ukafanywa viwandani usimpact mwananchi kutokana na uwezo wao revenue wise.

Tanzania mgao hauimpact sana viwanda kwani ndio source of revenueKuhusu tarrif na deregulation EWURA ndio inashughulikia hayo na ndio inapanga, shirika lolote ambalo lina regulator haliwezi kupanga tarrif bali linaomba tarrif, naandika kwenye mobile so can't answer qn to qn bt nikifika ofisini will try
 
Out of wateja 20 wa T2 tariff niliokutana nao, 20 wote walikuwa na transformers zao walizojinunulia. Wapo walionunua transformers 2 kwa jengo lao moja na ukitizama maximum demand yao haifikii hata theluthi ya capacity ya transformer hizo.

Kusema kuwa wateja hawafati masharti sijui wanajiongezea mashine, ni uzembe wa Tanesco kama wanashindwa ku enforce sheria zilizopo kwa wateja wao.

Nakumbuka report moja niliyosoma ya Tanesco inasema kuna loss ya 25% na asilimia kubwa tu ni non-technical (10?) (The report is from Ministry of Energy and Minerals). Ripoti nyengine inaonyesha kuwa wateja wengi wa D1 hawafai kuwepo kwenye kundi hilo la kulipia gharama ndogo za umeme. (Report on Financial consultancy done for Tanesco)

In reality hakuna mfumo wa maana wa management of resources huko Tanesco, na tutaendelea kulala gizani kwa sababu even on a non-peak day (weekend) demand haikidhwi na generation ya hydro peke yake. Lazima gesi itumike.

Utasikia gesi hakuna Tanzania, kwani hamkufanya makadirio mkaagiza mapema? Au mafuta hakuna kwanini hamkuagiza mapema?
Gas iko under TPDC na haitoshi sio kwamba haipo as in reserve but haipo as in availability.

Non technical losses ni ndogo maana wizi umezuiwa through AMR meters so sasa hivi losses ni 21% hii ukijumlisha non and technicalSheria za kuongeza load si tatizo la mteja wala TANESCO ni labda kutoelewa utaratibu kuwa unapoongeza utoe taarifa ili voltage improvement ifanyike, lakini kwa sheria ya sasa ukigeuza residential kuwa business complex na kutap umeme wa watu wa domestic no one does anything, kwa nchi nyingine, mteja analipia au kughartamia part of total expenses
 
Kudos Eng.Nsiande....Endelea kutoa somo my dear!..I recommend that TANESCO appoint you the Chief Spokesperson coz lady..u know the stuff...u make a lot of sense kuliko hao wengine tunaowasikia!!Halafu hebu tuambie...hawa vijana wanaozagaa mitaani kwenye nyumba za watu wakidai kuona bill za umeme wakati watu wanalipa LUKU... ni vijana wenu au vishoka? Kama ni wenu hamuoni mnawahatarishia maisha maana watu wako so fed-up na mgao, watu hawana umeme, kisha mnakuja kuongeza chumvi kwenye kidonda!
Thanks TausiNadhani hao wanaangalia zaidi zero purchase ili kujua kama ni umeme wa mazabe ama lahThanks a lot my dear..ukiwa na tatizo ni pm nitakusaidia
 
Hivi hizo Megawati imekuaje zishuke kuanzia 100 mpaka zifikie 10 na nyie mmekaa kuangalia tu, Mkurugenzi, Katibu, maenggnrs, Matechxan...na vp ule mradi wa makaa ya mawe umeshia wapi?? Na Ngeeleja nae kaingia cha kike, kadai tusiwasikilize na tuwapuuze wanasiasa, wakati yy ndio wa kwanza KUPUUZWA na kajisahau kwamba hata yy ni mwanasiasa.
Kawa mzigo wa kitaifa kwa kweli.
 
Nsiande.. naomba kidogo utusaidia (I have some ideas kidogo) kujibu maswali haya mawili:

a. Tuna mabwawa mangapi ya kuzalisha umeme?
b. Yana uwezo wa jumla wa kuzalisha MW ngapi za umeme at maximum capacity?
c. Sasa hivi yanazalisha kiasi gani?
d. Ukiondoa tatizo tulilolizoea la "kina cha maji" ni kitu gani kingine kinazuia kuzalisha at maximum capacity?
e. Nini kinafanyika kuhusiana na hilo la "d"?

Shukrani.
A. Tuna mabwawa 5..hale,nyumba ya mungu,kihansi,kidatu,mtera na new pangani falls
B. Total installed capacity kwa hydro ni 562MW.
C. Sasa hivi uzalishaji from hydro ni less than 175Mw kama sikosei maana sijapata latest ya last week inaweza kuwa imeshuka zaidi
D.ukiondoa kina cha maji na poor hydrology condition kuna units huko hale zimezimwa for total maintenance na machine outages
E.wataalamu ( from nje ) wapo Pangani falls tangu last month kurudisha mitambo katika hali yake ila kufidia upungufu ndio kuna hizo emergency power plants purchased like Aggreko etc
 
Gaijin, hayo yoote unayoyasema ya tarrif ni ya kuwa regulated na REA,

Huo mgao upo unaweza usimpact domestic users lakini kwenye Paris utility convetion walikuwepo na na walisema hivyo na huo mkutano umemalizika last week na they said that's the only option as GE will be expensive on thermal so you if u have access to those details u will get it, mgao unaweza ukafanywa viwandani usimpact mwananchi kutokana na uwezo wao revenue wise.

Tanzania mgao hauimpact sana viwanda kwani ndio source of revenueKuhusu tarrif na deregulation EWURA ndio inashughulikia hayo na ndio inapanga, shirika lolote ambalo lina regulator haliwezi kupanga tarrif bali linaomba tarrif, naandika kwenye mobile so can't answer qn to qn bt nikifika ofisini will try

Reports zote za Tanesco kwa EWURA nimezisoma, na hakuna sehemu waliyoomba kuwe na feed-in tariff kwa wateja wa sola. Not one.

Kwa vile EWURA ni regulator tu, kazi yake ni kuangalia iwapo bei mnazotaka kutoza ni halali kwa mteja kulinganisha na mazingira. EWURA haiwezi kuwaambia mtumie mfumo gani kujiendesha na kuhudumia wateja wenu. As long as hamjaomba hilo haliwezi kutokea.

Sasa ngoja nikueleweshe kidogo labda na Tanesco mnaweza kutumia system hiyo kuondoa kero za mteja

In short hakuna mgao kama unaofikiria wewe wa aina ya TANESCO. TEPCO imenunua mitambo ya dharura ya extra ya thermal ili piga, ua, chinja, garagaza raia wasikatiwe umeme. Lakini kwa kuwa Japani inatumia umeme mwingi sana hizo thermal hazijatosha na wateja wakuu the big 200 wameombwa kujipunguzia wenyewe matumizi kwa asilimia 10-15.

Kwa hiyo ile mikataba ya awali kabla ya disaster iliyokuwa inakulazimisha kuweka maximum demand (ukiizidisha unapigwa faini kubwa, lakini umeme haukatwi) sasa haitatumika, itatumika mengine yenye maximum demand ya chini zaidi kwa hao big 200.

Walichofanya ni kufanya rotation ya siku za kazi, badala ya kwenda weekdays kazini, watafanya mpango wa kwenda weekends au mapema zaidi kwa two hours ili kutumia umeme wakati wa off-peak.

Lakini umeme hauzimwi hata kwa hao big 200.

Sasa kwa Tanzania balaa lake ni kuwa hata weekend umeme hautoshi....hakuna siku ilokuwa off-peak!!!
 
This is deep!
BUT WHAT DO YOU MEAN HAKUNA GESI?

Gas iko under TPDC na haitoshi sio kwamba haipo as in reserve but haipo as in availabilityNon technical losses ni ndogo maana wizi umezuiwa through AMR meters so sasa hivi losses ni 21% hii ukijumlisha non and technicalSheria za kuongeza load si tatizo la mteja wala TANESCO ni labda kutoelewa utaratibu kuwa unapoongeza utoe taarifa ili voltage improvement ifanyike, lakini kwa sheria ya sasa ukigeuza residential kuwa business complex na kutap umeme wa watu wa domestic no one does anything, kwa nchi nyingine, mteja analipia au kughartamia part of total expenses

Kobello jibu ni hilo umelisikia..........gesi ipo reserve lakini haipo available kutumika kwa kuzalisha umeme!

Na hapo kwenye nyekundu, ndio tunasema TANESCO ina tatizo ya management, resources zilizopo zingegaiwa vyema tungpata nafuu japo kidogo.
 
Nsiande malezo ni mazuri ingawa yako japo yanaibua maswali mengi lakini yana utaalam

Washauri hao wahusika wa kutoka maelezo waache copy and paste .mgao ukitokea wanataoa sababu zile zile. IPTL kutokuwa na mafuta na ukame na ukame kwenye mabwawa ni . vitu predictable kitaalama kwa hiyo kulitwakiwa kuwa na altenative measures in place.

Mabwawa yakikubwa na tetemeko la ardhi tunaweza kuelewa likini si ukame.

Vile vile washauri wahusika waweke sehemu ya feedback na kupokea response na maoni ya watu kwenye tovuti yao. Ingawa najua kuweka hiyo si kai kazi kubwa ni kama kutakuwa na mtu maalum wa kuachambua maoni ya watu na kuyawakilisha yale yenye sense wa wakuu.

In todays word mashirika yanafanyai kazi in two way communication. Mimi nimewai kuandika maoni mashirika ya nje na unajibiwa lakini kwa Tanzania mhhhhh.iwe TANESCO, NSSF ., wizara ni one way communcation
 
Tanzania mgao hauimpact sana viwanda kwani ndio source of revenueKuhusu tarrif na deregulation EWURA ndio inashughulikia hayo na ndio inapanga, shirika lolote ambalo lina regulator haliwezi kupanga tarrif bali linaomba tarrif, naandika kwenye mobile so can't answer qn to qn bt nikifika ofisini will try

Engineeer
Nadhani unakosea ukisema mgao hauimpact sana viwanda.. Mgao unaimpact sana viwanda kunaw watu wanakosa ujira na kazi sabbau ya umeme. Ile kasumbua kutoa umeme viwandani asubuhi na kuzuima usiku ni siasa. Kuna vinwada vingi operation zake ni 24 hrs. Kuna jamaa uswazi niko nao hawaendi kwenye ujira wao wa siku zao wananiambia sababu ya umeme.

Alafu niliwai kusikia maleezo tarrif za umeme wa viwandani ni nafuu zaidi kuliko umeme wa majumbani. Je hili ni kweli. ?
 
Back
Top Bottom