Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Respect Mkuu Eng.Nsiande!
Nakunukuu kabla ya kurusha kombora zito kwako "Mhandisi wa mifumo na njia kuu za umeme..safarini Mpanda"
Hivi..whats going on honestly? Mnalipwa mishahara kwa result gani nyie TANESCO?
Samahani nimekuwa na jaazba kidogo...lakini nina haki maana nalipa kodi zote na ada zote kama Mtanzania...umeme ni moja ya huduma ninazotegemea kupata.
Hebu tuelezeni kinagaubaga..nini hasa kinaendelea - go step by step kama unamfundisha mtoto wa chekechea ili tuelewe tatizo ni nini, mna mipango gani ya kutatua na tutegemee nini kwa kipindi gani.
SAMAHANI TENA KAMA SWALI LANGU LITAKUKERA
Nakunukuu kabla ya kurusha kombora zito kwako "Mhandisi wa mifumo na njia kuu za umeme..safarini Mpanda"
Hivi..whats going on honestly? Mnalipwa mishahara kwa result gani nyie TANESCO?
Samahani nimekuwa na jaazba kidogo...lakini nina haki maana nalipa kodi zote na ada zote kama Mtanzania...umeme ni moja ya huduma ninazotegemea kupata.
Hebu tuelezeni kinagaubaga..nini hasa kinaendelea - go step by step kama unamfundisha mtoto wa chekechea ili tuelewe tatizo ni nini, mna mipango gani ya kutatua na tutegemee nini kwa kipindi gani.
SAMAHANI TENA KAMA SWALI LANGU LITAKUKERA
Dush sorry... I was away for so long such that someone asked me to log in...
Apart from what is posted on the web, reality sucks..reality is...we as a country has gas shortages so even if we get 300MW now we won't be able to run the gas plants...
Mtera is @ 691m.a.s so literally it has to be shut @ 690m.a.s which will be achieved in August...unfortunately it didn't rain there!!
Grid control center is currently asking to shed further 30MW ( that explains last night outage...)
Kimsingi sina maelezo zaidi ya yaliyotolewa, ila for a state owned utility kazi ya generation bado ni mpango wa serikali.....
Pole mzalendo na watanzania wenzangu...I didn't think that I would advice this...but anyways...pls if u can go solar..it will be severe in November kama mvua za vuli ( ambazo hydrologically si. Nyingi zikiacha kunyesha Mtera )
I can advice on solar option based on ur load..yani umeme unaotumia majumbani