booooooo huuuuuuuuu
a lot of speculations about 21/12/2012 to be the end of the world are put forward, the evidence given some are relating to bible like in the book of revelation, also our scientist have confirmed on the same day the possibility of earth experiencing solar maxima, coronal mass ejection from the sun, collision with another planet called nibia, earth axial tilt and the most widely connection is the end of the famous mayan calender on the same day, could all these things happening on 21/12/2012 a mere coincidence?
Dunia ilishakwisha hii tunaishi ya nyongeza tu don worr!
Nilivyosoma mahali mbalimbali ikiwemo na humu ni mpango wa freemasons kutawala dunia na mpango huo inatarajiwa kukamilika ifikapo tarehe hiyo. kwahiyo siyo mwisho wa dunia kwani kama walivyoeleza wengine hakuna ajuaye siku wala saa. Na hata huo mpango wa freemasons unategemea kama ndiyo wakati Mungu amekubali itokee hivyo, kama hajakubali haiwezi kutokea.
a lot of speculations about 21/12/2012 to be the end of the world are put forward, the evidence given some are relating to bible like in the book of revelation, also our scientist have confirmed on the same day the possibility of earth experiencing solar maxima, coronal mass ejection from the sun, collision with another planet called nibia, earth axial tilt and the most widely connection is the end of the famous mayan calender on the same day, could all these things happening on 21/12/2012 a mere coincidence?
Nenda kalale and stop this crap!!