donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
- Thread starter
- #21
Inabidi ujue tofauti kati ya love na sex, you can buy sex but not love
dats tru likasu,i agree wit u
Inabidi ujue tofauti kati ya love na sex, you can buy sex but not love
Jamani si wanawake wote pesa mbele, na wale wanaolelewa na wanawake je tusemeje?
Kawaambie hao hao wa chuoni kwako ulipo usituunganishe na sisi umesikia eehhh
Peleka mambo ya chuo hukohuko eti hawajiheshimu na kujithamini naona uko kishule zaidi kaongee nao hukooooooooooooo
afrodenzy tru words spoken
But yet you said ''unaweza kumpata mwanamke yeyote'' ????
Haya tena....kwahiyo mtu akichukuliwa na gari basi ishakua tabu!!Unajuaje kwamba hakuanza mahusiano na huyo mtu kabla hajapata gari?
dena,ur not a critical thinker at all. Its not abt students only n i didn say ALL WOMEN. wen i was doin my fieldwork at a particular bank here in Dar,i came across the same issue. The branch manager was a young man in his 30's,handsme and had a luxurious life. Wish u cud see how fellow female workers walvokua wanajishebedua ili wamdate boss. 1 hu became my buddy told me,"kila m2 anataka kua na mwanaume mwenye pesa ndo maana unaona 2navyompapatikia boss". So u cn see,its kinda virus implanted in some womens brain kwamba all wat matterz in life is a man wit cash
Branch Manager - ana pesa kweli????? labda kama anachakachukua benki - huyo si mfanya kazi wa kawaida sana???? labda ungesema pesa za mafisadi walizoiba. Wenye pesa wanaochimba migodi inayotema dhahabu, almasi etc. ndio at least unaweza sema wana pesa - hao staff walikuwa wanataka kumdate boss -wapate promotion labda lakini sio issue ya pesa - na labda wengine walikuwa wanataka mapenzi ya dhati na wengine kufurahisha mwili tu (sex) - so sijui mentality yako ya mtu mwenye ni ipi??? seems wewe gari zuri hulijui...........
mwanamke wa benki - jamani si wanachukua mikopo na wengi wana-drive??? hao labda ni 'newly employed'?? Otherwise una mtazamo wa kizamani kweli ..............hata university students (ladies) wengine wako chuoni na magari - umesahau watoto wa mafisadi nini??? au hapo unawa-target watoto wa mkulima???? hata hivyo most ladies hata wakiwa wahitaji vipi wanajiheshimu - gari, pesa - very material things -
mwanaume mtanashati - mwenye gari na pesa - kama tabia ni mbaya hawezi kukubaliwa na decent woman ...watu siku hizi wanaangalia TABIA, MWENENDO NA HANDLING YA MTU - ndio hoja yangu hiyo.:smile-big::smile-big:
Jamani ivi inakuaje,unakuta mwanaume mtanashati una mvuto,nadhifu,maridadi etc. But kila unapojaribu kumuaproach mdada fulani unajikuta una kula kibuti? Halafu,hivi kwanini siku hizi mapenz yamehamia mifukoni nikimaanisha pesa? Yan cku hz bwana wewe kama una gari yako nzur na vijisent kadhaa walah tena utakua na mwanamke yoyote utakaemtaka. Sasa inakuaje kuhusu msemo wa money cnt buy love?