Subiri kipigo cha mbwa mwizi..................
Kuna Jaluo wa TZ hawawezi kosekana humu...Hongera kwa kupata Mjaluo...Hawa Jaluos watu wa kenya humu wapo kweli...mhhhh
Sifa yao kubwa ni kwamba hawataahiriwi
Sifa ya pili ni pride,wana majivuno kweli kweli
Sifa ya tatu ni kurithi wajane wa ndugu zao
Baada ya kuondolewa NUKSI na mwanaume kichaa/outcast wa kijiji.Sifa ya tatu ni kurithi wajane wa ndugu zao
Tarime ni wakurya mzee, wajaka wapo wachache sana!Pia Jaluo wa kiume lazima awe na alama/Kovu kubwa ya/la Panga usoni au Kichwani...:fencing: Kama hana alama/Kovu ...basi hajakulia Tarime...:fencing: