Email kuhusu Rais wa Tz

Wengine huwa wanawaita wenzao makafiri, hivi ni jina zuri ati?

mhhh hilo nalo neno.............
ile msg iliyosambazwa wakati wa kampeni ikihusisha kumkashifu mgombea mmoja wa uraisi mbona waliotumiwa na kuforward hawakulazwa selo?
 
mzee hiyo picha naona kama unanyanyasa haki za wanyama toka lini punda akavaamiwani na kitenge?

We ndugu huyo ni punda kweli hebu mwangalie vizuri,mbona mie naona kama mbuzi? mnyama hana haki ila mwenye haki ni yule anayemfuga
 
Nimekuona mitaa fulani halafu ukasepa baada ya kuona nondo zilivyopigiliwa. Habari za masiku malenga wangu.

Mie sioni tatizo pia mtu kufowadi e mail zake ila tatizo linakuja kwenye contents za hiyo e mail. Kama ikiwa kuna maneno yasiyofaa au picha chafu za kutengeneza mie sikuungi mkono. Fahamu kumfanyia mtu jambo ovu unatakiwa ufikirie je akifanyiwa mtu wako baba yako, mjomba wako, dada yako, mama yako au wewe utajisikiaje?

Ukiona hutafurahia basi na huyo muhusika mnaemjadili hapa kwa majina mengi mengi mengi yakiwa ya kuchukiza hatapenda pia. Sidhani kuna mtu anapendwa aitwe kwa majina ya ajabu ajabu yenye kila hila za kejeli na dharau. Sisi waislam tumeusiwa tuitane majina mazuri ndio maana ni nadra sana kukuta majina ya ajabu ajabu kwa waislam ila wachache wakibantu haswahaswa.

Una habari hata hayo majina yenu ya kiislamu ni majina ya Kienyeji kwa watu wa mashariki ya kati, kwa hiyo ni bora tu mkatumia majina ya kibantu ambayo yanawatambulisha mtokako. Majina ya kibantu ni mazuri sana asikuambie mtu.
 
Back
Top Bottom