Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,375
Wengine huwa wanawaita wenzao makafiri, hivi ni jina zuri ati?
mhhh hilo nalo neno.............
ile msg iliyosambazwa wakati wa kampeni ikihusisha kumkashifu mgombea mmoja wa uraisi mbona waliotumiwa na kuforward hawakulazwa selo?