Mesh2lover
Member
- Dec 4, 2008
- 67
- 3
weather??? mh! .... may be whether....
.... mwambie ashuke ung'eng'e kama ataweza
"...Bongo sasa hivi tuna mediocre wengi sana,sababu ya elitism na udini"
Kwani hao wote uliowataja si ndiyo wanaosababisha watanzania tunapelekwe puta hivyo? wote ni vilaza kwa aina moja au nyingine, matokeo yake sisi ndiyo tunalipia umbumbumbu wao na mara nyingi kwa roho zetu! wengine tuliobaki ni longolongo tu, hakuna anayefanya kufanya kweli hata mmoja!Hebu fikiria kama Kova anakuwa IGP na Makamba anakuwa Rais, Agness Nyoni aliyeko Afya awe Katibu Mkuu Kiongozi, Waziri wa fedha awe Gavana wetu wa sasa na Waziri mkuu awe Pesambili. Mwanasheria wa serikali awe nani nani yuleeeee mwanasheria aliyehama kutoka CHADEMA kwenda kuwa mawanasheria wa CCM. Kiongozi wa upinzani awe Mtikila. Patakalika mkao gani Tanzania? ....Leka
Communication ni tatizo la kitaifa bongo.
I miss Kuhani at times like these.
By the way hata Jerry naye ana mengi ya kujifunza. Wote walikuwa wanaongea kama wako kijiweni fulani hivi tu.
Jerry anafoka Kova ni mtu mdogo tu, Kova ni RPC wa Dar at that, Jerry yeye ana ukubwa gani wa kusema Kova mdogo?
issue ya jerry, ni kova amehamanika tuu, elimu yake fresh tuu. Nakumbuka nilimuona kamanda zombe siku alipokaimu nafasi ya tibaigana, wakati akitangaza zile habari za polisi kufanikiwa kuwauwa wale majambaz wanne msitu wa pande, baada ya kujibizana risasi na polisi, alitangaza kwa masifa sana, na kuita waandishi kushuhudia polisi wakipongezwa, kilichofuatia sote tunakijua.
Ukimuona kamanda kova anavyoongea, ni wazi, anaongea kwa masifa na mapozi ya kusmile mbele ya camera. Kamanda tibaigana pia alikuwa akiongea na waandishi daily ila was serious.
Pamoja na elimu zao zote, pia ni kweli na kuna uthibitisho, debe tupu hupiga kelele!. Si unaonaga mwenyewe hata baadhi ya magreat thinkers miongoni mwetu humu jf yunavyopigaga kelele za kidebe tupu?.