Elimu siyo kipimo cha tabia na ustaarabu, kwa afya ya demokrasia tuendelee kuchagua Marais wa Kanda ya Pwani na Visiwani

NetMaster

JF-Expert Member
Sep 12, 2022
1,454
4,854
Kigezo kikuu ni sehemu hizo wanazotoka na wala si dini, Ni mkoa wa Pwani na visiwani na wala sio ukanda mzima huko Tanga kwa mzee makamba, Mtwara kwa bwana Nape, Lindi, n.k.

Kwao ustaarabu ni sehemu ya maisha yao, wanapokuwa maraisi huwa kuna nafuu ya kuendesha nchi angalau kwa demokrasia, si wakamilifu ila wanahitahidi kuwa wastaarabu, kuongea kwa busara, ni rahisi kujichanganya na watu wa kawaida hata mitaani bila script, n.k.

Tunaendelea kuona nafuu ya kidemokrasia inayokuwepo pindi wanaposhika madaraka, hata vyama vya upinzani huwa vinapata nafuu na uhuru wa kujieleza unakuwepo, vyombo vya habari navyo at least vinakuwa huru kwenye kukosoa.

Mfumo wa vyama vya siasa vingi ulichochewa na Mwinyi, vyama vya upinzani vilileta upinzani ulioshiba kipindi cha Kikwete na hata walipomkosoa yeye hakuwa na tatizo na ni kipindi ambacho angalau mambo ya katiba mpya yalipewa ruhusa ya kujadiliwa

Kwa huyu mama yetu nae anaenda kwa step mdogo mdogo maana viongozi wengi aliowakuta hawafanani mawazo, hivyo hawezi kukurupuka, taratibu anaweka viongozi wake na kadri wanavyozidi kujaa kunakuwa na resistance ndogo ya yeye kuruhusu demokrasia ya uhuri wa kujieleza, vyama vya siasa kufanya mikutano, n.k.
 
Pindi wanapokuwepo, wasiopenda kupingwa na wanaopenda ubunge wa mtelezo huwa wanachukia sana
 
Pindi wanapokuwepo, wasiopenda kupingwa na wanaopenda ubunge wa mtelezo huwa wanachukia sana
Kuna mijitu itatoka mapangoni kuja kukuporomoshea matusi, happ ndio hiyo hoja ya ustaarabu itakapojithibitisha hata kwenye huu uzi
 
Kigezo kikuu ni sehemu hizo wanazotoka na wala si dini

Kwao ustaarabu ni sehemu ya maisha yao, wanapokuwa maraisi huwa kuna nafuu ya kuendesha nchi angalau kwa demokrasia, si wakamilifu ila wanahitahidi kuwa wastaarabu, kuongea kwa busara, ni rahisi kujichanganya na watu wa kawaida hata mitaani bila script, n.k.

Tunaendelea kuona nafuu ya kidemokrasia inayokuwepo pindi wanaposhika madaraka, hata vyama vya upinzani huwa vinapata nafuu na uhuru wa kujieleza unakuwepo, vyombo vya habari navyo at least vinakuwa huru kwenye kukosoa.

Mfumo wa vyama vya siasa vingi ulichochewa na Mwinyi, vyama vya upinzani vilileta upinzani ulioshiba kipindi cha Kikwete na hata walipomkosoa yeye hakuwa na tatizo na ni kipindi ambacho angalau mambo ya katiba mpya yalipewa ruhusa ya kujadiliwa, kwa huyu mama yetu nae anaenda kwa step mdogo mdogo maana viongozi wengi aliowakuta hawafanani mawazo, hivyo hawezi kukurupuka, taratibu anaweka viongozi wake na kadri wanavyozidi kujaa kunakuwa na resistance ndogo ya yeye kuruhusu demokrasia ya uhuri wa kujieleza, vyama vya siasa kufanya mikutano, n.k.
Naunga mkono hoja.
 
Another primitive mindset..yaan mnataka hao viongoz waimarishe hiyo demokrasia ambayo haiwezi kukuletea pesa mfukon wala maendeleo? Nikajua mnataka viongozi wakali na wawajibikaji wasiochekea upumbavu na uzembe, kumbe mnataka hao viongozi rojorojo ambao wakishika nchi basi mambo mengi ya hovyo huongezeka kama vile

Uhalifu, rushwa, uzembe makazini, uvunjwaji wa sheria, uibaji wa rasilimali za nchi na utoroshwaji wa wanyama, kuwajali wawekezaji uchwara badala ya kuwajali wazawa, haya yote hutokea kwa hao mnaowaona wanafaa, kumbe ni vibaraka na wasiotakia mema nchi.

Afrika ilitakiwa iunganishwa pamoja nchi zote na itawaliwe kwa mkono wa chuma ama ukoloni mkali ndipo maendeleo yatatokea na sio kuchekeana kama wanavyofanya hawa vibaraka wenu wa ccm na vyama vya upinzani.

South afrika bila mkono wa chuma kutoka kwa wazungu isingefika hapo, lkn angalia vinchi hivi vilivyojifanya kudai uhuru ilihali akili za kujiongoza bado hamna, ndio haya mnayaona ya Taifa kuongozwa kwa sheria na kanuni za wamagharibi/waasia which is FOOLISHNESS..

AFRIKA haiwezi kuendelea kwa kuikumbatia demokrasia wala kulembana, bali udicteta mkali zaidi ya ule wa hitra
 
Back
Top Bottom