vyombo vya kimataifa haviwezi kuongelea uchaguzi wa nchi inayoongozwa na kilaza jk. wanaongelea Ivory Coast na Brazil tu. Hata kwenye ramani ya dunia hatupo. Ndiyo maana nasema ccm ikae pembeni ili tuirejeshe nchi yetu kwenye ramani ya dunia.
Mmmmmhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!! labda hivyo ni vyombo vya kimataifa ambavyo wengine hatuvijui. Ukiona Tanzania hatuongelewi jua hatuchinjani vinginevyo ungewaona tu.