Na ni vema mtoke madarakani kwa amani mtakaposhindwa. CCM ndio chama pekee kinachoweza kupindisha demokrasia na kusababisha uvunjifu wa amani.Wanabodi,
Nategemea Tanzania itaishangaza dunia kwa kuwa na uchaguzi ulio huru na wa amani!
Wanabodi,
Nategemea Tanzania itaishangaza dunia kwa kuwa na uchaguzi ulio huru na wa amani!
Hayo majimbo matatu yamewekwa maalum kwa ajili ya uchakachuaji. kaeni chonjo maana hizo zitatumika kumjazia Dk nanihii ambaye hawezi kujieleza.
Hayo majimbo matatu yamewekwa maalum kwa ajili ya uchakachuaji. kaeni chonjo maana hizo zitatumika kumjazia Dk nanihii ambaye hawezi kujieleza.
Dunia ishangazwe ili iwe nini. Hii kasumba ndio inarudisha nyuma maendeleo ya Tanzania na kufikiri ati dunia watasema nini, kama hiyo dunia ingekuwa inajali si wangefuatilia yanayotokea Tanzania mbona wanaongelea uchaguzi wa Brazil pekee kama vile sisi hatuna uchaguzi? Au ni kwa sababu ya Kilaza JK? Kwa vile wamemuweka mfukoni. Tujali ya kwetu kwanza ... charity begins ..... .....
Hii inaitwa General Election, makosa ya majimbo 3... sio tatizo la Taifa Zima, subiri ripoti zao.
Subiri mnatamani kutokee matatizo lakini hayatokea sana... hivyo jiandaeni kupokea matokeo.
vyombo vya kimataifa haviwezi kuongelea uchaguzi wa nchi inayoongozwa na kilaza jk. wanaongelea Ivory Coast na Brazil tu. Hata kwenye ramani ya dunia hatupo. Ndiyo maana nasema ccm ikae pembeni ili tuirejeshe nchi yetu kwenye ramani ya dunia.
vyombo vya kimataifa haviwezi kuongelea uchaguzi wa nchi inayoongozwa na kilaza jk. wanaongelea Ivory Coast na Brazil tu. Hata kwenye ramani ya dunia hatupo. Ndiyo maana nasema ccm ikae pembeni ili tuirejeshe nchi yetu kwenye ramani ya dunia.
Wanabodi,
Nategemea Tanzania itaishangaza dunia kwa kuwa na uchaguzi ulio huru na wa amani!
Gosbertgoodluck unaongea na walewale! Nachokiona kwa huyu the so called Kasheshe ni blindiness na ufinyu wa kujua mambo, so please don't waste ur time on this. we All know, mapungufu mwengi sana ya huyu mbumbumbu...mfano mdogo tu ni ile ya Lisa M Rockefeller. Sasa kama inafikia mtu wa nje anaweza kuyaona haya, inakuwa mzawa...otherwise uwe tayari umekufa fikra zako..that is it!
Wanabodi,
Nategemea Tanzania itaishangaza dunia kwa kuwa na uchaguzi ulio huru na wa amani!