Napenda kuchukua nafasi hii kuwaombea Watanzania wote popote pale duniani Idd el Haj njema na ya amani. Na wale ambao wamejaliwa kwenda kuhiji Mecca safari yao ya kurudi nyumbani iwe salama.
Idd Mubarak.
ndugu zangu watanzania leo ni siku kubwa na tukufu kwa waislamu wote duniani kwa kukamilisha ibada moja miongoni mwa nguzo kuu ktk uislamu yaani ibada ya hijja huko makka.hivyo nawapongeza na kuwapa mkono wa idi waislamu wote duniani hasa waislamu wa tz na wa tz wote kwa ujumla ktk sherehe hii tukufu!
Hongereni waislamu na idd mubarak!