Matokeo yoyote watanzania ninaomba tuyapokee, chamsingi kukiangakia ni kiwango cha timu yetu kimeongezeka? sio kuangalia timu itafungwa magori mangapi, linganisha kmbe la dunia kati ya GERMANY na SAUD ARABIA.Matokeo German 8-Saud 0, lakini game zlizofuata ilibadilika sana, Tuangalie timu yetu imebadirika kwa kiwango gani?
Leo kichapa tu kwa Mafalo tena wamejipendekeza kuwafuata huko huko Golikipa atakuwa nani yule aliye hongwa na Simba Shaban Dihile wa JKT leo atakunywa nyingi si chini ya 5.
Sijaelewa lengo la Wamisri kutaka kujipima na 'sisi'. Hivi ni kweli
a. kiwango chetu kimepanda, (maana ni muhali bingwa wa AFrika kutaka kujipima na kibonde)
b. au Mmisri anatafuta punching bag nene isiyoumiza?
Nisaidieni hapa.
Hii mechi tunashinda, mtaona!