mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
mwamvita kacheka kinafiki
Huyo ndio charming JMK anaeweza kukufaya u feel comfortable wakati wowote, kamgusa panapotakiwa, la sivyo, ni waganga njaa hao wanajishebedua na kukengeuka labda wataalikwa kwenye dinner! Na jamaa enzi zake alikuwa mkali, siku hizi Mwenyeezi Mungu kamhidi na nasikia ni wa Hamsa Swalaat. Mungu amzidishie.
Mmm mie kwa kweli.. no comment!! ila tu...-wakubwa wanakulaga vinono..!!
Halafu haya mabonge mabonge ya wastani jamaa huwa anayapenda kweli!
Wanaume bwana asije akawa amerusha maneno ya mahaba pale
Huyo ndio charming JMK anaeweza kukufaya u feel comfortable wakati wowote, kamgusa panapotakiwa, la sivyo, ni waganga njaa hao wanajishebedua na kukengeuka labda wataalikwa kwenye dinner! Na jamaa enzi zake alikuwa mkali, siku hizi Mwenyeezi Mungu kamhidi na nasikia ni wa Hamsa Swalaat. Mungu amzidishie.
Ulipita mtihani au vipi?Huyo ndio charming JMK anaeweza kukufaya u feel comfortable wakati wowote, kamgusa panapotakiwa, la sivyo, ni waganga njaa hao wanajishebedua na kukengeuka labda wataalikwa kwenye dinner! Na jamaa enzi zake alikuwa mkali, siku hizi Mwenyeezi Mungu kamhidi na nasikia ni wa Hamsa Swalaat. Mungu amzidishie.
Kuna kitu sikielewi wakuu, hivi mtu hata akisali swalaa mia kwa siku,kama hatendei wananchi wake haki, kama kiapo alichokula kinavyohitaji awajibike, akatetea mafisadi na kuwapa kinga, akashindwa kuwa na serikali yenye kuwajibika kwa wananchi hizo swalaa huwa na maana kweli??Huyo ndio charming JMK anaeweza kukufaya u feel comfortable wakati wowote, kamgusa panapotakiwa, la sivyo, ni waganga njaa hao wanajishebedua na kukengeuka labda wataalikwa kwenye dinner! Na jamaa enzi zake alikuwa mkali, siku hizi Mwenyeezi Mungu kamhidi na nasikia ni wa Hamsa Swalaat. Mungu amzidishie.
Mtu chake -'Reka ayo tse'. Huyo ni mdada anaonyesha uzalendo kwa Mhe. wetu. Reka yisekele alabishimye