Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,015
- 95,378
yeeeeeeah!ahah!
YEEAH YEEAAAH
mpwa unatisha mimi geoff nimekubali
unanata na biti hakika wewe ni mkali
nimekukubali wewe ni mkimya lakini mkali
wanajidanganya wanatisha wakati hawawezi
umenata na biti mpaka masaki kakubali
tukutane jambo tukapige pombe kali
tutakula maji mpaka iwe naiti kali
Nami nakukubali kwa kukata vina vikali,
Tunachana kiana japo fani si muhali,
Uhandisi na ughani na vipaji vya kila hali,
Wakikaa kivibaya tunakamata serikali,
Ngoja tuwahi jambo tupate vitu vikali,
Na huduma maridadi toka kwa totoz kali,
...............