Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,036
yeeeeeeaaah!Tunachana chana mistari na vina,
Tunachana chana hata pakiti valua,
Tunachana chana mpaka lebo za bia,
Tunachana ndovu, ngeti, na taska pia,
Tunachana kongoro koto kwa bia,
Tunachana mwendo tukutuku kwa gia,
Tunachana mwendo hata breki zikivia,
Bora liende tukate kiu kwa bia......
nimekukubali unatisha CHANA CHANA
tunachana chana huku mila twadumisha
tunacha nachana na vikombe tunachana
tunachana laga,tunachana na banana
tukitoka hapo twaenda gesti kuchanachana
tunawachanachana mpaka wao anasarenda
Tukitoka hapo na tukutuku chanachana