chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,695
- 22,718
Nadhani umetoka kifungoni kwa spidi ya ajabu baada ya kuwa BANNED, kuwa makini!!Baada ya kujifanya mjanja na kutangaza vita dhidi ya Raisi wa JMTZ akifikiri kwamba ana uwezo wa kumyumbisha Raisi Pombe Magufuli (PhD), sasa Dola ika hit back, mbowe anatakiwa ahame ktk kwenye nyumba yetu ya NHC na vile vile alipe deni letu la mabilioni analodaiwa!
CCM ni Chama Dola, acha kabisa, sasa mbowe chalii anamtuma fisadi lowasa akamuombee poo na bado!