Misa ilifanyika Kanisa Katoliki- St. Peter Oysterbay leo kuanzia saa nne kamili asubuhi. baada ya hapo sherehe ilifanyika katika ukumbi wa parokia hiyo.lini, wapi, n.k jazia nyama kidogo
Unajua mi nimesoma uchumi. Ukisema long run haina maana ya longe term. Long run can be very short period of time.Angalia hapa kabla hujaanza kukosoa.
Hiii n maoni yako..usimlishe maneno Eddo..tulimtuma kuja upinzan kuwanyamazisha kama Mrema alvofanya.....Kwa kifupi, picha inambeba zaidi Lowassa maana inaonyesha Uvumilivu na Political Maturity ya hali ya juu sana dhidi ya waliombeza na kumkejeli wakati wa kampeni.
Lowassa si mjinga bali yuko kimkakati zaidi na ana vision.
He is a talented politician and not a politician by chance.
Kwa msioelewa,hii picha inamuweka Lowassa moyoni mwa wana-CCM hata akiwa nje ya CCM na ataendelea kukubalika na wana-CCM hata akiwa nje ya CCM.
Hapa kaua ndege wawili kwa jiwe moja.
Ni kweli Nifah, maana tulichagua kama vipofu, sasa tunalalama kama vichaa. Mungu naye hamfichi mnafiki, acha tuyapitie.Tulifanya makosa makubwa sana,tusingekuwa tunapitia magumu tunayopitia sasa.
Mungu ameamua kutuadhibu.
TBC news:
Mh. Rais Magufuli akiwa katika jubilee ya miaka 50 ya ndoa ya Rais mstaafu Mkapa, kwenye kanisa la Mt. Petro Dar es salaam, aliacha furaha kubwa na kanisa zima kulipuka kwa
furaha na makofi na vigelegele aliposema...
" Leo na mimi nimepata muujiza katika jubilee hii ya kipekee... nimekutana na Mh. Lowassa na kupeana mikono huku akifurahiii sanaaaa toka moyoni.. na kuchekaaaa.. kanisa zima likalipuka kwa shangwe...!! akaendelea kusema " Sbb tokea tuanze kampeni hadi tumemaliza hatujawahi onana...!! Nashukuru sana..!!"
Mungu ibariki Tanzania..!!
Kumbe adii mkuu alikuwa anatamani. Kukutanaa na mheshimiwa lowasa.
Hajapiga selfie kweliii?