Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,952
- 4,326
Siyo nchi hii tu bali duniani kote haijawahi kutokea. Yaani hata huko Misiri, Libya na Syria haijawahi kutokea mwanasiasa wa aina hiyo, halafu akabaki anadunda. Only in Tanzania. Hope to meet him on the front line on 1st September or may be at Mirembe thenafter.Hakuna Mwanasiasa nchi hii aliyewahi kwenda mbali kumtukana na kumkejeli Raisi wa JMTZ kama tundu lisu, hilo halijawahi kutokea!