Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,498
- 37,792
Ni kwasababu anarudi kwenye mavumbi alikokuwa mwanzoni.Ikitokea mwanasiasa katoka CCM kaenda CDM, wana CCM hawatoi povu sana ikitokea kinyume chake! Yaani napitia mitandaoni hapa sakata la kuhama kwa Lowassa na leo Mgeja kurudi CCM yani wana CDM wanamwaga povu kama loote asee!!
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa sababu kuwa mpinzani ni sababu ya kuikosoa serikali iliyo madarakani, sasa unapoamia chama tawala unaenda kukosoa nini?Ikitokea mwanasiasa katoka CCM kaenda CDM, wana CCM hawatoi povu sana ikitokea kinyume chake! Yaani napitia mitandaoni hapa sakata la kuhama kwa Lowassa na leo Mgeja kurudi CCM yani wana CDM wanamwaga povu kama loote asee!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana au Bibi akifa kwa UKIMWI, mwenza wake naye atamfuata kwa njia hiyohiyo!Hawala yake Hamis Mgeja, sijui naye atamfuata huko lini!?
ntashangaa... ila wengine wote waliobaki upinzani sitashangaa
1:Lissu
2:Lema
3:Jacob meya.
ntashangaa... ila wengine wote waliobaki upinzani sitashangaa
hii mada hainihusu mimi inawahusu waoNa wewe je...upo kundi gani?
ndio maana imebidi niseme ntashangaa sio sitaamini maana hawaaminikiInahitaji uwe na moyo wa chuma kuwaamini wanasiasa. Hakuna lisilowezekana kwa hawa viumbe wetu wanaoitwa wanasiasa.
Mbowe haaminiki kabisa
ndio maana imebidi niseme ntashangaa sio sitaamini maana hawaaminiki
Mkuu hata Mbowe1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob