Baada ya kusataafu...
Haya yalikuwa ni matangazo ya moja kwa moja kutoka Uwanja wa taifa mjini Dar es salaam kupitia redio Tanzania Dar es Salaam,"Mpira unatoka katika lango la timu ya Dar Yanga Afrikans kuelekea katika lango la timu ya Simba "Taifa Kubwa", Golikipa wa Yanga Steven Nemes anaupiga mpira vizuri kabisa hukuuuuu anauchukua Said Mwamba Kizotaa Kizotaa anampasia Method Mogella Mogella pembeni kabisaaaa anampelekeaaa kwakeeee Salum Kabunda Kabundaa Kabunda kwakeee Constatine Kimanda Kimandaaa anapeleka mpira kwa Ken Mkapa Ken Mkapa Mkapa Mkapa anatoa pasi ndeeeefuuuuu kwake Lunyamila Lunyaamiilaaaaaa Lunyamilaaaa chenga ya kwanza chenga ya piliii Lunyamila bado Lunyamilaaaa Lunyamilaaaa hatari katika lango ya timu ya Simba lalalalalalalal gooo lalaa goooo alalalalal Gooooooooooooooooooooooooo!!!
one of the greatest player this country has ever produced. naamini kwa upande wa left wing, hakuna kama lunyamila ktk historia ya tanzania. inasikitisha aliishia hapa hapa na kuishia kupata visenti vya akina gulamali. ndo matatizo ya kuzaliwa at a wrong time au wrong place! wanamsifu Giggs, lakini Giggs kwa Lunyamila wala haoni ndani...
one of the greatest player this country has ever produced. naamini kwa upande wa left wing, hakuna kama lunyamila ktk historia ya tanzania. inasikitisha aliishia hapa hapa na kuishia kupata visenti vya akina gulamali. ndo matatizo ya kuzaliwa at a wrong time au wrong place! wanamsifu Giggs, lakini Giggs kwa Lunyamila wala haoni ndani...
Ulipata kuziona wingi hizi Selstine Sikinde Mbunga, George Kulagwa au niendelee
Wabongo noma mara ya mwisho lunya ,ali mayai,na dogo mmoja baadae alienda rwanda kucheza boli alikuwa na umbo kama ngasa walienda kujaribu bahati yao chile da cha ajabu aliyewapeleka akawapeleka kupanga mizigo supermaket badala ya boli aibu sana
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
tambaza alimaliza level gani mkuu mwaka gani huo!Duh! dereva tax! mbona nilisikia ni mlinzi! ila alimaliza tambaza! ila alikuwa noma.