East African Countries' Budgets

kila kukicha lazm hapa JF pawe na post itakayo nisababisha niende kutafuta evidence. .kenya ni kr 32,ug 20,tz126 zote hizi zina maudhui yanayoilenga context ya nchi husika,by the way,sioni hoja ya ukubwa au udogo wa budget statement cha msingi imegusa maisha ya wana wa nchi?
 
.
Bajeti ya nchi haiandikwi na mtu binafsi, bali ni mchakato unaowahusisha watu wengi, ila yeye kwa wadhifa wake ndiye anayeisoma bungeni!

Kwa hiyo Kenyatta siyo bright?vipi akilinganishwa na Mkullo?
 
You guys are inferior and pathetic...do you have to compare every lil thing with a poor neighbouring county? what is Kenya? how big is their budget $13B compare to $10B ??..both of the two are still very tiny economies in the global scale...:lol:

Acha ushamba wewe,...unaita kenya poor?
Tanganyika itaitwaje sasa?

Bajeti ya kenye ni 1Trillion
ya Tanganyika ni 13Trillion,...unajua tofauti iliyopo?

1ksh = 19 Tsh,...ina maana
1,000ksh=19,000Tsh,...ina maana
10,0000ksh=190,000Tsh,...ina maana
1M ksh=19M Tsh,...yaaani,
1T ksh = 19T Tsh,...
Afu unataka kulinganisha kibajeti kilicho jaa madeni na bajeti ya kenya?
tupa kule
 
To add an insult to the wound. Kenya ambayo ni nchi ndogo kuliko Tanzania ki-eneo, Kenya ambayo ina population ndogo kuliko Tanzania. Budget yake ya 2011/2012 imeizidi budget ya Tanzania kwa $ 5 Billion. Pia Kenya budget yake inategemea LESS kwa wafadhili ukilinganisha na budget ya Tanzania.

Halafu mnajindanganya tutashindanaya na Kenya kwenye soko la Jumuiya ya Afrika Mashariki?!
Una hakika? $ 5B???

Pia kumbuka budget ni kama ndoto nzuri unaweza kusema nitafanya hiki na kile lakini mwishowe usifanikiwe hata nusu ya hilo...Kwa mfano hivi unatambua kuwa deni la kila raia wa marekani kwa sasa ni $46,186.49 and rising? ...angalia hapa http//www.usdebtclock.org/
 
Acha ushamba wewe,...unaita kenya poor?
Tanganyika itaitwaje sasa?

Bajeti ya kenye ni 1Trillion
ya Tanganyika ni 13Trillion,...unajua tofauti iliyopo?


We ndio mshamba maana hujui hata ulichoandika...:biggrin1:
 
Kenya wamebadilisha jinsi wanavyosoma budget yao. Hii wameiita 'ministerial statement'. Ndio maana nimewauliza maana ya budget ni nini?
Angalia hii video mpate somo. Ndio result ya new constitution hiyo.



I have watched it,it is very useful for discussion on the table!!!thank you very much!!!
 
Last edited by a moderator:
But is it really logical to assess the 'size' of the budget on the basis of page numbers? Are we serious?
 
I have watched it,it is very useful for discussion on the table!!!thank you very much!!!

hii video inafunga discussion kabisa! Kenya wamebadilisha system yao ya kusoma budget! Nashangaa watu bado wanashindwa kuelewa! Waache waendelee mkuu....
 
Ubepari kenya umewasaidia nasi ujamaa ukatubomoa ila ni mapito tuu tutajaimprove ila baada ya kuzichapa kidogo has haya mambo ya kuchakachua kura
 
Bajeti ya jirani zetu kenya kwa mwaka wa fedha 2011/2012 iliyosomwa jana inadhihirisha kuwa wenzetu wapo ulimwengu mwingine na sio afrika mashariki. Matumizi yanatarajiwa kuwa US$ 8.0 billion na kodi inayotarajiwa kukusanywa katika mwaka huo wa fedha ni US$ 9.0 billioni.

Hapa kinachooneka ni namna gani serikali ilivyo makini kukusanya kodi kuliko kutegemea misaada ya wafadhidhili.

Ni lini serikali ya tanzania itaweza kukusanya kodi kubwa kuliko matumizi? Bajeti yetu makusanyo US$ 5.5 billion na matumizi US$ 8.6 billion
 
1, tutaongeza kodi kwenye ushuru wa madini
2, tutaongeza ukusanyaji wa mapato
3, tutaongeza uzalishaji wa viwandani na kwenye sekta ya kilimo.
4, posho za vigogo wa serikali zitaondolewa kabisa.
5, semina elekezi zitaondolewa
6, matumizi ya serikali yatapungua kwa 50%
7, kipaumbele kitakuwa kwenye elimu, kilimo, na afya,
8, mishahara ya wafanyakazi itaongezeka kulinga na hali ya maisha ya sasa.
9, tutapunguza au kufuta kodi bidhaa za mafuta ili kupunguza ukali wa maisha kwa mwananchi wa kawaida.

HUU NI MFANO TU WA BRAA BRAA YA BUDGET YA TZ USIOHITAJI MAELEZO MENGI AMBAYO MWANACHI WA KAWAIDA HAYAELEWI, SIDHANI KAMA UNAWEZA UKAJAA UKURASA MZIMA. teh teh teh

Umewasahau watanzania bla blah.
 
Inaonekana Wakenya wametutembelea jamvini hapa leo!!??

Bajeti ya Kenya ni ya wakenya kwa mahitaji ya Kenya; vilevile bajeti ya Tanzania ni kwa mahitaji ya Tanzania ya wakati huu. Vipi ulitegemea zifanane?
 
hii video inafunga discussion kabisa! Kenya wamebadilisha system yao ya kusoma budget! Nashangaa watu bado wanashindwa kuelewa! Waache waendelee mkuu....
Mambo ya katiba mpya hayo.Nusura Uhuru azuiliwe kusoma budget baada ya kushindwa kuiwasalisha budget aprili kujadiliwa kwa mujibu wa katiba.Busara za spika ndizo zimeokoa jahazi.
 
Inaonekana Wakenya wametutembelea jamvini hapa leo!!??

Bajeti ya Kenya ni ya wakenya kwa mahitaji ya Kenya; vilevile bajeti ya Tanzania ni kwa mahitaji ya Tanzania ya wakati huu. Vipi ulitegemea zifanane?

Wewe waonesha kufaidika na matumizi mabaya ya serikali, Si bure!!
 
Back
Top Bottom