tupende tusipende, wametuzidiInaonekana Wakenya wametutembelea jamvini hapa leo!!??
Bajeti ya Kenya ni ya wakenya kwa mahitaji ya Kenya; vilevile bajeti ya Tanzania ni kwa mahitaji ya Tanzania ya wakati huu. Vipi ulitegemea zifanane?
vipi jamani pidiefu ya bajeti yetu wapi????
nimesevu pages 30+ au niliyonayo famba????Ukifuatilia bajeti ya Kenya utagundua kwamba haizidi kurasa nne na imebeba kila kitu mle yaani short and crea, But ya kwetu ni kama Kurasa za Bible vile,
Jamaa kachemka, Bajeti ya kenya ina kurasa 32 wakati ya Uganda ni kama kurasa 18 hivi... Lakini kuna tofauti ya FONT SIZE kati ya bajeti hizo, font size ya bajeti ya Tanzania ni kubwa kuliko font size ya bajeti za Uganda na Kenya.... Hata hivyo, zingekua na font size zinazofanana bado bajeti ya Tanzania ingekua kubwa zaidi kuliko bajeti hizo zingine ambazo inawezekana zingefanana kwa ukubwa!?
You guys are inferior and pathetic...do you have to compare every lil thing with a poor neighbouring county? what is Kenya? how big is their budget $13B compare to $10B ??..both of the two are still very tiny economies in the global scale...:lol:
Acha ushamba wewe,...unaita kenya poor?
Tanganyika itaitwaje sasa?
Bajeti ya kenye ni 1Trillion
ya Tanganyika ni 13Trillion,...unajua tofauti iliyopo?
1ksh = 19 Tsh,...ina maana
1,000ksh=19,000Tsh,...ina maana
10,0000ksh=190,000Tsh,...ina maana
1M ksh=19M Tsh,...yaaani,
1T ksh = 19T Tsh,...
Afu unataka kulinganisha kibajeti kilicho jaa madeni na bajeti ya kenya?
tupa kule
mzee unauliza pdf ya bajeti yetu wakati ukiangalia taarifa za mwezi uliopita bado hazijapositiwa nchi hi mwendo mdogomdogo. nahisi kama tupo kwenye kisiwa ambacho hakina mawasiliano sehemu nyingine ya dunia maana kila kitu tupo nyuma.
duuuuuu, hiiiiiiiiiii kali, na ulimwengu huuuu, mpaka bajeti inatangazwa haipo kwenye web, si ni kazi ndogo tu ya ku-pdf word document waliprintia , wajamini... mmmm-
Duh Huyo John Locke muigizaji Umemtoa wapi kwenye avatar.lakini angalia wabunge wao walivyokuwa wanaishangilia baadae nje ya Bunge..
Acha ushamba wewe,...unaita kenya poor?
Tanganyika itaitwaje sasa?
Bajeti ya kenye ni 1Trillion
ya Tanganyika ni 13Trillion,...unajua tofauti iliyopo?
1ksh = 19 Tsh,...ina maana
1,000ksh=19,000Tsh,...ina maana
10,0000ksh=190,000Tsh,...ina maana
1M ksh=19M Tsh,...yaaani,
1T ksh = 19T Tsh,...
Afu unataka kulinganisha kibajeti kilicho jaa madeni na bajeti ya kenya?
tupa kule