EALA: Waliopitishwa CCM, ni Kwa Haki!, Tulioachwa ni kwa Haki, Tumezidiwa Vigezo!. Thanks4 for Support, Nimekubali Matokeo Kiroho Safi! Kazi Iendelee!

Si haba. Nlisema leo utakuja na bandiko la kuelezea kilichotokea. Tumelipokea. Cha muhim wewe ni kiongozi wa mji wako (nakazia). Haya mengine yapo tu. We endelea kugong "thanks" kwenye comment wakat unafatilia michongo mingine. Cha muhim hukosi basic needz
 
Katoe sadaka ambayo ukitoa moyo wako utapata maumivu.Halafu TOA fungua la kumi kila unapopata pesa.2025 Utapata hitaji la moyo wako na Mungu atakuzidishia.
Unatoa 1M kugombea kitu ambacho huna wa kukupigania!!!!MTAFUTE MUNGU,JISHUGHULISHE KWA MAMBO YAKE,YEYE MUNGU ATASHUGHULIKA NA MAMBO YAKO. PASKO YESU ALIPOZALIWA NYOTA YAKE ILIONEKANA KWA MAMAJUSI.UNAKUMBUKA EE???
KAJIFUNZE KWA RAIS MTEULE WA KENYA NDUGU.

Wewe umejua kumshauri.

Ukipata Kuracya MUNGU umekula bingo
 
Wanabodi,
Ubunge wa EALA ni mara yangu ya pili kujaribu kugombea kupitia CCM, mara ya kwanza nilijaribu Ubunge jimbo la Kawe, nikashauriwa ili kuchaguliwa ni lazima 'uwaone' wajumbe 'ujitambulishe', 'wakujue' ndio utapata kura za wajumbe!. Kusema ukweli, mimi sikumuona mjumbe yoyote!, sikujitambulisha kwa yeyote!, na matokeo yake, tulikuwa wagombea 176, anatakiwa mtu mmoja!, mimi nilipata kura 1!. Simjui hata huyo aliyenipigia hiyo kura moja ni nani?, siku nikimjua, nitamshukuru, maana kuna watu maarufu kuliko hata mimi, waliambulia kura 0!.

Nafasi za EALA zilipotangazwa, nilipoangalia sifa na vigezo, nikajiona nina kidhi, tatizo la kwanza ni CCM wakaweka fedha ndefu kuchukua fomu, TZS 1,000,000!. Sio aibu kujisema, japo kuna siku nafanya biashara hadi ya B, lakini amini usiamini kuna siku hata Baresa hata 1.M, hivyo hiyo 1.M ya fomu ya CCM, sikuwa nayo!. Nilishuka humu JF, nikapandisha bandiko!, Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe! within no time!, 1.M nilipata, nikajaza chukua fomu nikajaza nikarudisha!. Siku narudisha fomu, pia nikaripoti humu Licha ya vikwazo kadhaa, hatimaye nimefanikiwa kuianza ile safari. Asanteni kwa sala zenu zimesaidia ila bado zinahitajika sana! Mungu nisaidie

Nilipojipima kwa vigezo, nikajina nafiti kisawa sawa, hivyo nikatoa ushauri kwa Chama changu, namna ya kupata the best of the best Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo

Tulipoitwa Dodoma kuhojiwa, nilikutana na kilichonikuta A shock of my life, furaha yageuka shubiri. Be good to people on your way up, you might meet them on your way down, mwenzenu leo yamenikuta!, hivyo nilikuwa ni tayari nimeisha anza maandalizi ya kisaikolojia kuyapokea matokeo yoyote.

Kama kawaida washauri hawakukosekana, nilipewa kila aina ya ushauri, nikawaone watu, hata ikibidi nikawaone 'wazee' kuwa uongozi CCM huwezi kupata hivi hivi tuu!. Mimi kwa upande wangu niliamua kusimama kwenye uadilifu kuwa nitasimama na CV yangu tuu!, hivyo kama ilivyokuwa kwa Kawe, sikumtafuta mtu yoyote, sikumuona yoyote, wala kumlobby yeyote.

Leo asubuhi nimeona matokeo View attachment 2352588View attachment 2352589
Kwa matokeo hayo ndugu zangu naomba kwanza kukiri wazi, nimeyapokea, nimeyakubali, waliopita wamepita kwa haki, tuliochunjwa tumechujwa kwa haki, hao waliopita wamenipita vigezo kwa mbali.

Angalia kwenye hao 10 wanaume bara!, kuna watu wazuri zaidi yangu, tulikuwa nao kwenye mahojiano hawakupita!, ina maana hao ni the best of the best.
Nikuwa Nane Nane Mbeya, niligongana na KM CCM pia nikamuuliza kitu kuhusu hili
Hivyo kiukweli kabisa, kwa upande wa wanaume, CCM imetuteulia watu wazuri, ila kwa upande wa wanawake pia kuna watu wazuri, ila this time CCM pia imeyarudisha pia makokoro fulani!, kama kawaida ya nyavu za kokoro, zinakomba kila kitu, hivyo uwepo wa kokoro utapelekea tuwakose baadhi ya wanawake wazuri kwasababu hata kama ingekuwa ni nafasi moja, ukaweka wagombea 9 wazuri, na kokoro moja!, then lazima kokoro litapita!. Hivyo hilo kundi la wanawake 6 bara wanaogombea nafasi mbili, hesabu ni wanawake 5 wa bara ndio wanagombea nafasi 1, kwasababu mmoja usimhesabu kama mgombea, ni mbunge tayari anayesubiri tuu kuthibitishwa!.

Nawapongeza wote walioteuliwa na CCM, nawaombe wabunge wa Chama changu nao wajitahidi kutuondolea hizo kokoro, ila kiukweli kuna kokoro na kokoro, kokoro nyingine, ni hakuna namna!.

Upande wangu, naendelea kusisitiza mimi ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, nilitamani uwakili wa EALA kwa vile niliamini naweza kusaidia. Kuna wengi wanadhani mimi ningestahili kuteuliwa DC, naendelea kusisitiza kuwa kwa kazi yangu kama mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, na sasa ni wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, nitalitendea haki zaidi taifa langu hivi nilivyo mwandishi na wakili kuliko kuwa mtu kama DC, muhimu ni PPR kurejeshewa tuu zile tenda zake za publicity za taasisi za serikali, ili pia tumsaidie Rais Samia, kuchangia kodi ya kutosha ya kuwalipa mishahara ya mwaka ma DC, ma RC na Wakurugenzi wake kadhaa.

Shukrani sana kwa wana JF walioniunga mkono kwa well wishes, na michango yao ya hali na mali, nami kwa upande wangu kila siku nazidi kujifunza, zile lessons.

Nawaombeni sana wana jf wenzengu, itoshe nilijaribu, sikufanikiwa, wa kunipongeza kwa kujaribu, asanteni, nawaomba usinibeze sana kwa kutoswa, kwasababu mimi pia ni binadamu tuu na sio malaika, nimeumbwa kwa nyama na nina feelings, hivyo nina makosa yangu, madhaifu yangu and probably na karma za matendo yangu zilizopolekea kuzidiwa sifa na walio teuliwa.

Hili tulihesabu limepita, maisha yaendelee na kazi iendelee.
Na mimi kwa upande wangu, naendelea kumuomba sana Mungu, anifundishe kunyamaza!.

Asanteni sana.

Paskali
Mkuu Paskali, wewe ni mtu muhimu sana hapa nchini kwetu, natambua kuna siku tu "many potentials within you" zitakuja kufahamika, kuhitajika, kutatafutwa mbele ya umma na hata kuthamininika.
 
IMG_20220910_161914.jpg


Mzee wangu pole sana.

Ila mimi nina haya machache ya kukuambia:

Kwa umri wako ulipofikia, kwa sasa unapaswa uweke kambi ya kisiasa maeneo yako unayoishi. Either iwe kata, tarafa, wilaya au mkoa. Ulipaswa uanzie maeneo hayo.

Usitake kukimbilia makubwa angali madogo bado hujayafulfulil mzee wangu. Kauli yako ya kusema kwamba u DC hauna hadhi kwako ni kauli yenye kuonesha tabia ya "Sizitaki Mbichi Hizi". Na wengi wamepitia huko kabla hawajajiupgrade juu zaidi. Huwezi kutembea kabla hujatambaa mzee wangu

Hiyo degree yako ya uzeeni isikupe kiburi mzee wangu, be humble, start from the grassroots na one day kama muda utakuwa bado unakuruhusu basi utaweza kufika juu pale unapopataka.

Hivi mzee wangu nikuulize swali, hivi ukigombea nafasi ya uenyekiti wa mkoa/wilaya wa CCM wa mkoa gani unahisi winning probability yako itakuwa >80%. Kama hakuna basi jua wewe bado kidagaa sana kwenye siasa za nchi hii.
 
Wanabodi,
Ubunge wa EALA ni mara yangu ya pili kujaribu kugombea kupitia CCM, mara ya kwanza nilijaribu Ubunge jimbo la Kawe, nikashauriwa ili kuchaguliwa ni lazima 'uwaone' wajumbe 'ujitambulishe', 'wakujue' ndio utapata kura za wajumbe!. Kusema ukweli, mimi sikumuona mjumbe yoyote!, sikujitambulisha kwa yeyote!, na matokeo yake, tulikuwa wagombea 176, anatakiwa mtu mmoja!, mimi nilipata kura 1!. Simjui hata huyo aliyenipigia hiyo kura moja ni nani?, siku nikimjua, nitamshukuru, maana kuna watu maarufu kuliko hata mimi, waliambulia kura 0!.

Nafasi za EALA zilipotangazwa, nilipoangalia sifa na vigezo, nikajiona nina kidhi, tatizo la kwanza ni CCM wakaweka fedha ndefu kuchukua fomu, TZS 1,000,000!. Sio aibu kujisema, japo kuna siku nafanya biashara hadi ya B, lakini amini usiamini kuna siku hata Baresa hata 1.M, hivyo hiyo 1.M ya fomu ya CCM, sikuwa nayo!. Nilishuka humu JF, nikapandisha bandiko!, Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe! within no time!, 1.M nilipata, nikajaza chukua fomu nikajaza nikarudisha!. Siku narudisha fomu, pia nikaripoti humu Licha ya vikwazo kadhaa, hatimaye nimefanikiwa kuianza ile safari. Asanteni kwa sala zenu zimesaidia ila bado zinahitajika sana! Mungu nisaidie

Nilipojipima kwa vigezo, nikajina nafiti kisawa sawa, hivyo nikatoa ushauri kwa Chama changu, namna ya kupata the best of the best Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo

Tulipoitwa Dodoma kuhojiwa, nilikutana na kilichonikuta A shock of my life, furaha yageuka shubiri. Be good to people on your way up, you might meet them on your way down, mwenzenu leo yamenikuta!, hivyo nilikuwa ni tayari nimeisha anza maandalizi ya kisaikolojia kuyapokea matokeo yoyote.

Kama kawaida washauri hawakukosekana, nilipewa kila aina ya ushauri, nikawaone watu, hata ikibidi nikawaone 'wazee' kuwa uongozi CCM huwezi kupata hivi hivi tuu!. Mimi kwa upande wangu niliamua kusimama kwenye uadilifu kuwa nitasimama na CV yangu tuu!, hivyo kama ilivyokuwa kwa Kawe, sikumtafuta mtu yoyote, sikumuona yoyote, wala kumlobby yeyote.

Leo asubuhi nimeona matokeo View attachment 2352588View attachment 2352589
Kwa matokeo hayo ndugu zangu naomba kwanza kukiri wazi, nimeyapokea, nimeyakubali, waliopita wamepita kwa haki, tuliochunjwa tumechujwa kwa haki, hao waliopita wamenipita vigezo kwa mbali.

Angalia kwenye hao 10 wanaume bara!, kuna watu wazuri zaidi yangu, tulikuwa nao kwenye mahojiano hawakupita!, ina maana hao ni the best of the best.
Nikuwa Nane Nane Mbeya, niligongana na KM CCM pia nikamuuliza kitu kuhusu hili
Hivyo kiukweli kabisa, kwa upande wa wanaume, CCM imetuteulia watu wazuri, ila kwa upande wa wanawake pia kuna watu wazuri, ila this time CCM pia imeyarudisha pia makokoro fulani!, kama kawaida ya nyavu za kokoro, zinakomba kila kitu, hivyo uwepo wa kokoro utapelekea tuwakose baadhi ya wanawake wazuri kwasababu hata kama ingekuwa ni nafasi moja, ukaweka wagombea 9 wazuri, na kokoro moja!, then lazima kokoro litapita!. Hivyo hilo kundi la wanawake 6 bara wanaogombea nafasi mbili, hesabu ni wanawake 5 wa bara ndio wanagombea nafasi 1, kwasababu mmoja usimhesabu kama mgombea, ni mbunge tayari anayesubiri tuu kuthibitishwa!.

Nawapongeza wote walioteuliwa na CCM, nawaombe wabunge wa Chama changu nao wajitahidi kutuondolea hizo kokoro, ila kiukweli kuna kokoro na kokoro, kokoro nyingine, ni hakuna namna!.

Upande wangu, naendelea kusisitiza mimi ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, nilitamani uwakili wa EALA kwa vile niliamini naweza kusaidia. Kuna wengi wanadhani mimi ningestahili kuteuliwa DC, naendelea kusisitiza kuwa kwa kazi yangu kama mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, na sasa ni wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, nitalitendea haki zaidi taifa langu hivi nilivyo mwandishi na wakili kuliko kuwa mtu kama DC, muhimu ni PPR kurejeshewa tuu zile tenda zake za publicity za taasisi za serikali, ili pia tumsaidie Rais Samia, kuchangia kodi ya kutosha ya kuwalipa mishahara ya mwaka ma DC, ma RC na Wakurugenzi wake kadhaa.

Shukrani sana kwa wana JF walioniunga mkono kwa well wishes, na michango yao ya hali na mali, nami kwa upande wangu kila siku nazidi kujifunza, zile lessons.

Nawaombeni sana wana jf wenzengu, itoshe nilijaribu, sikufanikiwa, wa kunipongeza kwa kujaribu, asanteni, nawaomba usinibeze sana kwa kutoswa, kwasababu mimi pia ni binadamu tuu na sio malaika, nimeumbwa kwa nyama na nina feelings, hivyo nina makosa yangu, madhaifu yangu and probably na karma za matendo yangu zilizopolekea kuzidiwa sifa na walio teuliwa.

Hili tulihesabu limepita, maisha yaendelee na kazi iendelee.
Na mimi kwa upande wangu, naendelea kumuomba sana Mungu, anifundishe kunyamaza!.

Asanteni sana.

Paskali


Kazi unayo bro.
 
Next time itabidi ujiandae namna ya kwenda "kuwaona" wajumbe "ujitambulishe" ili "wakujue"

Huko CCM miaka yote huwa hawaangalii CV ya mtu, wao wanatazama upana na urefu wa mfuko wako, kama mfukoni hauna kitu, usijisumbue next time.

Wakimaliza kutazama mfuko waje watazame sura, huyu mtoto wa fulani, au yule rafiki wa fulani, kama haupo kwenye hiyo connection my friend, bora uendelee kuwekeza kwenye maonesho ya sabasaba.

 
Doris Mollel ni bingwa wa Rushwa sijui anatoa wapi Hela huyu mwanamama, aligombea uwakilishi wa UVCCM ubunge vijana akatoa PESA za kutisha na wajumbe wakala kichwa
 
Wanabodi,
Ubunge wa EALA ni mara yangu ya pili kujaribu kugombea kupitia CCM, mara ya kwanza nilijaribu Ubunge jimbo la Kawe, nikashauriwa ili kuchaguliwa ni lazima 'uwaone' wajumbe 'ujitambulishe', 'wakujue' ndio utapata kura za wajumbe!. Kusema ukweli, mimi sikumuona mjumbe yoyote!, sikujitambulisha kwa yeyote!, na matokeo yake, tulikuwa wagombea 176, anatakiwa mtu mmoja!, mimi nilipata kura 1!. Simjui hata huyo aliyenipigia hiyo kura moja ni nani?, siku nikimjua, nitamshukuru, maana kuna watu maarufu kuliko hata mimi, waliambulia kura 0!.

Nafasi za EALA zilipotangazwa, nilipoangalia sifa na vigezo, nikajiona nina kidhi, tatizo la kwanza ni CCM wakaweka fedha ndefu kuchukua fomu, TZS 1,000,000!. Sio aibu kujisema, japo kuna siku nafanya biashara hadi ya B, lakini amini usiamini kuna siku hata Baresa hata 1.M, hivyo hiyo 1.M ya fomu ya CCM, sikuwa nayo!. Nilishuka humu JF, nikapandisha bandiko!, Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe! within no time!, 1.M nilipata, nikajaza chukua fomu nikajaza nikarudisha!. Siku narudisha fomu, pia nikaripoti humu Licha ya vikwazo kadhaa, hatimaye nimefanikiwa kuianza ile safari. Asanteni kwa sala zenu zimesaidia ila bado zinahitajika sana! Mungu nisaidie

Nilipojipima kwa vigezo, nikajina nafiti kisawa sawa, hivyo nikatoa ushauri kwa Chama changu, namna ya kupata the best of the best Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo

Tulipoitwa Dodoma kuhojiwa, nilikutana na kilichonikuta A shock of my life, furaha yageuka shubiri. Be good to people on your way up, you might meet them on your way down, mwenzenu leo yamenikuta!, hivyo nilikuwa ni tayari nimeisha anza maandalizi ya kisaikolojia kuyapokea matokeo yoyote.

Kama kawaida washauri hawakukosekana, nilipewa kila aina ya ushauri, nikawaone watu, hata ikibidi nikawaone 'wazee' kuwa uongozi CCM huwezi kupata hivi hivi tuu!. Mimi kwa upande wangu niliamua kusimama kwenye uadilifu kuwa nitasimama na CV yangu tuu!, hivyo kama ilivyokuwa kwa Kawe, sikumtafuta mtu yoyote, sikumuona yoyote, wala kumlobby yeyote.

Leo asubuhi nimeona matokeo View attachment 2352588View attachment 2352589
Kwa matokeo hayo ndugu zangu naomba kwanza kukiri wazi, nimeyapokea, nimeyakubali, waliopita wamepita kwa haki, tuliochunjwa tumechujwa kwa haki, hao waliopita wamenipita vigezo kwa mbali.

Angalia kwenye hao 10 wanaume bara!, kuna watu wazuri zaidi yangu, tulikuwa nao kwenye mahojiano hawakupita!, ina maana hao ni the best of the best.
Nikuwa Nane Nane Mbeya, niligongana na KM CCM pia nikamuuliza kitu kuhusu hili
Hivyo kiukweli kabisa, kwa upande wa wanaume, CCM imetuteulia watu wazuri, ila kwa upande wa wanawake pia kuna watu wazuri, ila this time CCM pia imeyarudisha pia makokoro fulani!, kama kawaida ya nyavu za kokoro, zinakomba kila kitu, hivyo uwepo wa kokoro utapelekea tuwakose baadhi ya wanawake wazuri kwasababu hata kama ingekuwa ni nafasi moja, ukaweka wagombea 9 wazuri, na kokoro moja!, then lazima kokoro litapita!. Hivyo hilo kundi la wanawake 6 bara wanaogombea nafasi mbili, hesabu ni wanawake 5 wa bara ndio wanagombea nafasi 1, kwasababu mmoja usimhesabu kama mgombea, ni mbunge tayari anayesubiri tuu kuthibitishwa!.

Nawapongeza wote walioteuliwa na CCM, nawaombe wabunge wa Chama changu nao wajitahidi kutuondolea hizo kokoro, ila kiukweli kuna kokoro na kokoro, kokoro nyingine, ni hakuna namna!.

Upande wangu, naendelea kusisitiza mimi ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, nilitamani uwakili wa EALA kwa vile niliamini naweza kusaidia. Kuna wengi wanadhani mimi ningestahili kuteuliwa DC, naendelea kusisitiza kuwa kwa kazi yangu kama mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, na sasa ni wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, nitalitendea haki zaidi taifa langu hivi nilivyo mwandishi na wakili kuliko kuwa mtu kama DC, muhimu ni PPR kurejeshewa tuu zile tenda zake za publicity za taasisi za serikali, ili pia tumsaidie Rais Samia, kuchangia kodi ya kutosha ya kuwalipa mishahara ya mwaka ma DC, ma RC na Wakurugenzi wake kadhaa.

Shukrani sana kwa wana JF walioniunga mkono kwa well wishes, na michango yao ya hali na mali, nami kwa upande wangu kila siku nazidi kujifunza, zile lessons.

Nawaombeni sana wana jf wenzengu, itoshe nilijaribu, sikufanikiwa, wa kunipongeza kwa kujaribu, asanteni, nawaomba usinibeze sana kwa kutoswa, kwasababu mimi pia ni binadamu tuu na sio malaika, nimeumbwa kwa nyama na nina feelings, hivyo nina makosa yangu, madhaifu yangu and probably na karma za matendo yangu zilizopolekea kuzidiwa sifa na walio teuliwa.

Hili tulihesabu limepita, maisha yaendelee na kazi iendelee.
Na mimi kwa upande wangu, naendelea kumuomba sana Mungu, anifundishe kunyamaza!.

Asanteni sana.

Paskali
Hili tulihesabu limepita, maisha yaendelee na kazi iendelee.
Na mimi kwa upande wangu, naendelea kumuomba sana Mungu, anifundishe kunyamaza!.
 
Hivi mwashishi nguli, unamiliki kampuni PPRA, wakili wa kujitegemea,

Unahangaika na siasa kiasi cha kudhalilika hivi, ina maana huna hata washauri?

CCM hawakutaki, hata makala zako kabla ya kujipeleka CCM zipo humu jamvini,

Mojawapo ni hii, Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuichagua CCM?

Siasa imekukataa fanya mambo mengine,
 
Wanabodi,
Ubunge wa EALA ni mara yangu ya pili kujaribu kugombea kupitia CCM, mara ya kwanza nilijaribu Ubunge jimbo la Kawe, nikashauriwa ili kuchaguliwa ni lazima 'uwaone' wajumbe 'ujitambulishe', 'wakujue' ndio utapata kura za wajumbe!. Kusema ukweli, mimi sikumuona mjumbe yoyote!, sikujitambulisha kwa yeyote!, na matokeo yake, tulikuwa wagombea 176, anatakiwa mtu mmoja!, mimi nilipata kura 1!. Simjui hata huyo aliyenipigia hiyo kura moja ni nani?, siku nikimjua, nitamshukuru, maana kuna watu maarufu kuliko hata mimi, waliambulia kura 0!.

Nafasi za EALA zilipotangazwa, nilipoangalia sifa na vigezo, nikajiona nina kidhi, tatizo la kwanza ni CCM wakaweka fedha ndefu kuchukua fomu, TZS 1,000,000!. Sio aibu kujisema, japo kuna siku nafanya biashara hadi ya B, lakini amini usiamini kuna siku hata Baresa hata 1.M, hivyo hiyo 1.M ya fomu ya CCM, sikuwa nayo!. Nilishuka humu JF, nikapandisha bandiko!, Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe! within no time!, 1.M nilipata, nikajaza chukua fomu nikajaza nikarudisha!. Siku narudisha fomu, pia nikaripoti humu Licha ya vikwazo kadhaa, hatimaye nimefanikiwa kuianza ile safari. Asanteni kwa sala zenu zimesaidia ila bado zinahitajika sana! Mungu nisaidie

Nilipojipima kwa vigezo, nikajina nafiti kisawa sawa, hivyo nikatoa ushauri kwa Chama changu, namna ya kupata the best of the best Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo

Tulipoitwa Dodoma kuhojiwa, nilikutana na kilichonikuta A shock of my life, furaha yageuka shubiri. Be good to people on your way up, you might meet them on your way down, mwenzenu leo yamenikuta!, hivyo nilikuwa ni tayari nimeisha anza maandalizi ya kisaikolojia kuyapokea matokeo yoyote.

Kama kawaida washauri hawakukosekana, nilipewa kila aina ya ushauri, nikawaone watu, hata ikibidi nikawaone 'wazee' kuwa uongozi CCM huwezi kupata hivi hivi tuu!. Mimi kwa upande wangu niliamua kusimama kwenye uadilifu kuwa nitasimama na CV yangu tuu!, hivyo kama ilivyokuwa kwa Kawe, sikumtafuta mtu yoyote, sikumuona yoyote, wala kumlobby yeyote.

Leo asubuhi nimeona matokeo View attachment 2352588View attachment 2352589
Kwa matokeo hayo ndugu zangu naomba kwanza kukiri wazi, nimeyapokea, nimeyakubali, waliopita wamepita kwa haki, tuliochunjwa tumechujwa kwa haki, hao waliopita wamenipita vigezo kwa mbali.

Angalia kwenye hao 10 wanaume bara!, kuna watu wazuri zaidi yangu, tulikuwa nao kwenye mahojiano hawakupita!, ina maana hao ni the best of the best.
Nikuwa Nane Nane Mbeya, niligongana na KM CCM pia nikamuuliza kitu kuhusu hili
Hivyo kiukweli kabisa, kwa upande wa wanaume, CCM imetuteulia watu wazuri, ila kwa upande wa wanawake pia kuna watu wazuri, ila this time CCM pia imeyarudisha pia makokoro fulani!, kama kawaida ya nyavu za kokoro, zinakomba kila kitu, hivyo uwepo wa kokoro utapelekea tuwakose baadhi ya wanawake wazuri kwasababu hata kama ingekuwa ni nafasi moja, ukaweka wagombea 9 wazuri, na kokoro moja!, then lazima kokoro litapita!. Hivyo hilo kundi la wanawake 6 bara wanaogombea nafasi mbili, hesabu ni wanawake 5 wa bara ndio wanagombea nafasi 1, kwasababu mmoja usimhesabu kama mgombea, ni mbunge tayari anayesubiri tuu kuthibitishwa!.

Nawapongeza wote walioteuliwa na CCM, nawaombe wabunge wa Chama changu nao wajitahidi kutuondolea hizo kokoro, ila kiukweli kuna kokoro na kokoro, kokoro nyingine, ni hakuna namna!.

Upande wangu, naendelea kusisitiza mimi ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, nilitamani uwakili wa EALA kwa vile niliamini naweza kusaidia. Kuna wengi wanadhani mimi ningestahili kuteuliwa DC, naendelea kusisitiza kuwa kwa kazi yangu kama mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, na sasa ni wakili wa kujitegemea kwa kujitolea, nitalitendea haki zaidi taifa langu hivi nilivyo mwandishi na wakili kuliko kuwa mtu kama DC, muhimu ni PPR kurejeshewa tuu zile tenda zake za publicity za taasisi za serikali, ili pia tumsaidie Rais Samia, kuchangia kodi ya kutosha ya kuwalipa mishahara ya mwaka ma DC, ma RC na Wakurugenzi wake kadhaa.

Shukrani sana kwa wana JF walioniunga mkono kwa well wishes, na michango yao ya hali na mali, nami kwa upande wangu kila siku nazidi kujifunza, zile lessons.

Nawaombeni sana wana jf wenzengu, itoshe nilijaribu, sikufanikiwa, wa kunipongeza kwa kujaribu, asanteni, nawaomba usinibeze sana kwa kutoswa, kwasababu mimi pia ni binadamu tuu na sio malaika, nimeumbwa kwa nyama na nina feelings, hivyo nina makosa yangu, madhaifu yangu and probably na karma za matendo yangu zilizopolekea kuzidiwa sifa na walio teuliwa.

Hili tulihesabu limepita, maisha yaendelee na kazi iendelee.
Na mimi kwa upande wangu, naendelea kumuomba sana Mungu, anifundishe kunyamaza!.

Asanteni sana.

Paskali
Pole sana Paschal.
Mimi si mwanasiasa lakini nawaheshimu sana wanasiasa.
Kazi uliyoifanya ni kubwa mno.
Kupata si werevu na kukosa si ujinga.

Wanaokubeza wewe wanasemaje kuhusu Rails Odinga?

Usiku mwema mpambanaji.
 
Nchi hii imeoza na ili uwe kiongozi lazima umwage rushwa na sio rushwa ndogo ni rushwa kubwakubwa .Hii Hali haikubaliki kwa mstakabali wa nchi yetu manake tunakuwa na vhiongozi vilaza ambao hawana mchango wowote kwa Taifa zaidi ni kupiga hela za nchi yetu. Hii ni aibu kubwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama kuacha hii hali iendelee.

EE MUNGU WA MBINGUNI ULIE JUU NAKUOMBA ULIKUMBUKE TAIFA LAKO LA TANZANIA.
 
Back
Top Bottom