Duniani kote Siasa zinaendeshwa kwa Matukio ya Sasa na Yanayotarajiwa, bila Siasa za matukio nchi inadumaa. CHADEMA wako sahihi kwenye hili!

Bila matukio hakuna Siasa na huo ndio ukweli mchungu

Ndio sababu Viongozi wengi wa Afrika huteua Mawaziri wa habari wenye akili za wastani Ili wawatumie kuficha habari na kupunguza matukio kwenye nchi zao

Nenda Marekani, Russia, North Korea, India, UK nk wote wanafanya Siasa za matukio

So tusiwaone Chadema kama wanayumbayumba bali huo ndy mfumo wa Siasa za Modern World

Zitto Kabwe hajihusishi na Siasa za Matukio ndio sababu ACT Wazalendo imekufa kabisa huko Tanganyika

Nawatakia Tuesday yenye baraka
Sawa
 
I'd like to differs, siasa za matukio hazina faida yoyote zaidi ya furahisha genge, hivyo hizo ni siasa za kiuanaharakati, sio real politics za kushika nchi na kutawala nchi, Zitto Kabwe na ACT yake, wanafanya siasa za ki strategia, strategic politics, ni siasa za kimkakati kupanga mikakati ya kushika dola!.
P
Sasa Zito ana mkakati gani kwenye Siasa?? Maana hata simweli anapambambania nini??!
 
I'd like to differs, siasa za matukio hazina faida yoyote zaidi ya furahisha genge, hivyo hizo ni siasa za kiuanaharakati, sio real politics za kushika nchi na kutawala nchi, Zitto Kabwe na ACT yake, wanafanya siasa za ki strategia, strategic politics, ni siasa za kimkakati kupanga mikakati ya kushika dola!.
P
Ni nchi gani siasa za matukio zimefeli au kufanikiwa?.
 
Back
Top Bottom