Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 563
- 1,364
Wakuu mulibwanji?
Aisee nimetafakari sana jinsi ambavyo dunia ikishirikiana na mwanamke kummaliza mwanaume, kufuta nafasi ya mwanaume, kufuta haki zake ikibidi zinachukuliwa na kupewa mwanamke.
Ninakuhakikishia hata huyo mkeo uliyenaye hapo ni vile hajapata mtu mwingine tu anayekuzidi akipatikana basi atasepa na kama anaona kuna vimali tena vya jasho lako atafungua kesi na ninakuhakikshia atabeba na hizo mali zako kwani hata sheria hazimlindi sana mwanaume mbele ya mwanamke.
Dunia na mwanamke havina huruma juu yako mwanaume, kaa kwa umakini heshimu sana wanaume wenzako usiwatupe kisa mwanamke, wanawake hawa ndio wameongoza kuvunja uhusiano wa mwanaume na ndugu zake na wazazi wake. Familia nyingi zimesambaratika baada ya mwanamke kuja ndani ya familia hiyo, namaanisha baada ya ndugu wa kiume kuoa tu.
Anayebisha na abishe, wanawake wapo kimasilahi tu, wengi tunaishi nao sababu kuna maslahi yao tu, akipatikana mwingne mwenye maslahi zaidi anakuacha na mnagawana jasho lako.
Ukienda hata polisi mwanamke ataskilizwa zaidi kuliko mwanaume bila kujali mwanamke ndio kakosea, na ukikaa vibaya kibao unageuziwa unakula mvua, kama unabisha we bisha.
Wanaume tunatangulia kufa kwa mengi sana, mwanamke ukipata nae watoto kadri umri unavyosogea ndivyo mkeo anavyozidi kukutenga na watoto wako, utajikuta ndani ya nyumba umebaki peke yako, mama na watoto wako pamoja.
Kuna mzee alifariki kwa stress, watoto na mama wameungana mpaka wamemfungulia kesi kisa mali tu wanataka mgao mapema, ni hatari sana.
Simaanish msioe ila enendeni kwa akili sana si kwa hisia. Mungu ni mwema sana. Karibuni wale wa chai, mapovu, nk.
Maoni yenu tafadhari huu ni mtazamo tu.
Aisee nimetafakari sana jinsi ambavyo dunia ikishirikiana na mwanamke kummaliza mwanaume, kufuta nafasi ya mwanaume, kufuta haki zake ikibidi zinachukuliwa na kupewa mwanamke.
Ninakuhakikishia hata huyo mkeo uliyenaye hapo ni vile hajapata mtu mwingine tu anayekuzidi akipatikana basi atasepa na kama anaona kuna vimali tena vya jasho lako atafungua kesi na ninakuhakikshia atabeba na hizo mali zako kwani hata sheria hazimlindi sana mwanaume mbele ya mwanamke.
Dunia na mwanamke havina huruma juu yako mwanaume, kaa kwa umakini heshimu sana wanaume wenzako usiwatupe kisa mwanamke, wanawake hawa ndio wameongoza kuvunja uhusiano wa mwanaume na ndugu zake na wazazi wake. Familia nyingi zimesambaratika baada ya mwanamke kuja ndani ya familia hiyo, namaanisha baada ya ndugu wa kiume kuoa tu.
Anayebisha na abishe, wanawake wapo kimasilahi tu, wengi tunaishi nao sababu kuna maslahi yao tu, akipatikana mwingne mwenye maslahi zaidi anakuacha na mnagawana jasho lako.
Ukienda hata polisi mwanamke ataskilizwa zaidi kuliko mwanaume bila kujali mwanamke ndio kakosea, na ukikaa vibaya kibao unageuziwa unakula mvua, kama unabisha we bisha.
Wanaume tunatangulia kufa kwa mengi sana, mwanamke ukipata nae watoto kadri umri unavyosogea ndivyo mkeo anavyozidi kukutenga na watoto wako, utajikuta ndani ya nyumba umebaki peke yako, mama na watoto wako pamoja.
Kuna mzee alifariki kwa stress, watoto na mama wameungana mpaka wamemfungulia kesi kisa mali tu wanataka mgao mapema, ni hatari sana.
Simaanish msioe ila enendeni kwa akili sana si kwa hisia. Mungu ni mwema sana. Karibuni wale wa chai, mapovu, nk.
Maoni yenu tafadhari huu ni mtazamo tu.