kiufupi anguko la usa ndo mwanzo wa fujo za karne ya 19 na 20 zitarud tena, ili dunia iwe na amani lzm atokee mmoja awe mkubwa kuliko wengine kwa utofauti mkubwa km usa enzi 1900s , ss nan ataweza ? sio leo lzm tuuane kwanza mpk kieleweke , usa aliifanya dunia itulie imuangalie yeyeHuu ndiyo ukweli hata kama ni mchungu.
Siku Urusi au Uchina, au Iran mojawapo ikawa ndiyo inasimamia maslahi ya ulimwengu wetu huu, dunia itageuka kuwa uwanja wa kuchinjana na mwenye nguvu mpishe apite.