Nang'olo Ntela
Senior Member
- Jan 19, 2012
- 108
- 24
Tehete Utajiri wa Mwafrika huo, wanawake wengiii na mawazo yetu ni kufikiria wanawake tuu yaani NGONO tena ZEMBE!
Ningemwona wa maana angesema kawekeza kule Tanga ana heka mia anafuga ng'ombe wa maziwa, so anasumbuliwa mno na MBUNG'O na NDOROBO. So hayo ndo maisha ya msanii wa BONGO tehe![/QU" .... WORD!