Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,014
- 9,883
Mzaramo Abdallah Pazi, maarufu kama Dullah Mbabe alichezea kichapo kutoka kwa bondia wa Congo, Erick Katompa, ilionekana hajakubali hivyo leo anaingia tena ulingoni.
Oktoba 1, 2021 ndani ya viwanja vya PTA pale Sabasaba Dar es Salaam, bondia Erick Katompa alimtwanga bondia kutoka Tanzania, Dullah Mbabe kwenye pambano kali na la kusisimua.
Nani ataondoka akicheka na nani ataondoka kichwa chini?
Je, atatoboa... follow the thread kupata yanayoendelea uwanjani
Mapambano ya utangulizi
1. Sudi Kolelo kapigwa kwa TKO Raundi ya pili na Vigulo Shafii.
2. Jacob Mahanga kuibuka mshindi kwa TKO dhidi ya Alto Kyenga
3. James Kibazange amesuluhu na Ramadhan Pido, Round nane.
4. Ramadhan Iddi Vs Peter Tosh
Round: 6
Winner: Ramadhan Idd kwa points
5. Hassan Ndonga Vs Tasha Mjuaji
Rounds 8
Winner: Ndonga aeshinda kwa point
6. Charles Tondo ameshinda kwa pointi dhidi ya Ismail Ibrahim.
7. Joseph Maigwisa amkalisha kwa KO ya raundi ya tano mpinzani wake Hussein Itaba.
8. LOREN JAPHET vs NASSIBU RAMADHAN: Mshindi ni Nassibu Ramadhan akimshinda kwa pointi Loren Japphet
Oktoba 1, 2021 ndani ya viwanja vya PTA pale Sabasaba Dar es Salaam, bondia Erick Katompa alimtwanga bondia kutoka Tanzania, Dullah Mbabe kwenye pambano kali na la kusisimua.
Nani ataondoka akicheka na nani ataondoka kichwa chini?
Je, atatoboa... follow the thread kupata yanayoendelea uwanjani
Mapambano ya utangulizi
1. Sudi Kolelo kapigwa kwa TKO Raundi ya pili na Vigulo Shafii.
2. Jacob Mahanga kuibuka mshindi kwa TKO dhidi ya Alto Kyenga
3. James Kibazange amesuluhu na Ramadhan Pido, Round nane.
4. Ramadhan Iddi Vs Peter Tosh
Round: 6
Winner: Ramadhan Idd kwa points
5. Hassan Ndonga Vs Tasha Mjuaji
Rounds 8
Winner: Ndonga aeshinda kwa point
6. Charles Tondo ameshinda kwa pointi dhidi ya Ismail Ibrahim.
7. Joseph Maigwisa amkalisha kwa KO ya raundi ya tano mpinzani wake Hussein Itaba.
8. LOREN JAPHET vs NASSIBU RAMADHAN: Mshindi ni Nassibu Ramadhan akimshinda kwa pointi Loren Japphet