tgts d1wana jf, kwa mtu anayejua mshahara wa mwalimu anaoanza nao pale anapotoka chuoni. (bacherol of science with education). Naomba aniambie
tgts d1
wana jf, kwa mtu anayejua mshahara wa mwalimu anaoanza nao pale anapotoka chuoni. (bacherol of science with education). Naomba aniambie
ndo sh. Ngapi hiyo?
350,000
kasome masters kwanza
kazi ipo hapo!
Nitapewa loan % mia...
Masters hawatoi loan, hadi uwe tutorial
Somo gani?? kama ni Maths,na unakamua mzigo wa ukweli,madenti wakakukubali,sioni haja ya kusubiria posts za serikali! Hapo utalipwa mpaka 900,000 mpaka 1,000,000 ni wewe tu unajiwekaje!!!!wana jf, kwa mtu anayejua mshahara wa mwalimu anaoanza nao pale anapotoka chuoni. (Bacherol of science with education). NAOMBA ANIAMBIE
Kaka sina Masters ndo kwanza bachelor maana huo mshahara ni km wa dhahania, thn masomo ni CHEMISTRY & BIOLOGY.Somo gani?? kama ni Maths,na unakamua mzigo wa ukweli,madenti wakakukubali,sioni haja ya kusubiria posts za serikali! Hapo utalipwa mpaka 900,000 mpaka 1,000,000 ni wewe tu unajiwekaje!!!!
kasome masters kwanza
Walimu mna hali ngumu!
Mdau unaanza na TGTS D 1 ni 469,00/= kabla hawajakata wakikata unabaki na kama 380,00/= na kitu hivi.
Maisha si vita. Ni mapambano mpaka mwisho. Hakuna haja ya kukata tamaa kisa mshahara mdogo. Njoo kazini kwanza, utajifunza njia mbalimbali za kukuingizia mapato. Kama kweli una nia ya kutengeneza pesa, hamna haja ya kukata tamaa.
Tatizo ninyi mnataka mtengenezewe pesa, mlipwe mshahara wa mikubwa tu,hamfikirii ni namna gani nitatumia niongeze kipato changu.
TUBADILIKE.