Nimesikia leo asubuhi kuwa wamelipa zaidi ya TSH Bilioni tatu.
sio uchaguzi tu na soka pia mzee yaani mimi hapo duuuu sina lakusema na sama hii nitakuwa bongo,...simba lazima itapata changamoto na kufanya kweli we suburi tuthe tanzanian football federation admits to paying several million dollars to persuade brazil to play the taifa stars"
safari bado ni ndefu kwa nchi hii kwa kweli! Ila tactic nzuri kwa uchaguzi!
lengo ni la kwenye mabo ya utalii sio siku hio ya mechi tu hapana wameangalia kwa mbeleni kwamba nchi itajitangaza kupitia mechi hii na kuweza kuwaleta watalii.
soka ni ajira pia mzee kwenye ukweli lazima tukubali..MSANILO wewe ni great thinkerfikiria soka bongo likikua AJIRA zisizo na longongo za vijana wenye vipaji zitakuwaje,.si ni vema tuKila sehemu ni mzaha tu! hivi hatuna vipaumbele jamani? Mkuu wa kaya lazima akauze sura na kujichesha na kuiga picha na Dunga
sasa mkuu si tunataka kuwatumia brazil kutangaza nchi kwenye utalii? ndio tunawapa fungu lao kwa kutupa nafasi ya kurusha tangazo letu duniani? inamana ulitegemea wao wapoteze hela zao kuja kucheza na sisi kwa kiwango kipi mkuu?