Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
We also don't have enough for this: Childbirth in Tanzania - Slide Show - The New York Times
Heeee, kumbe kuna watu humu walidhani kuwa Brazil ingekuja tu bila gharama zozote zile kutoka Tz, mbona hayo mawazo ni finyu sana. Unategemea ile timu iliyoundwa na mastaa namna ile ingekuja tu kuuza sura hapo bongo bila malipo, wenzetu kila wachezaji wao wanapogusa mpira wanalipwa na sio kujifurahisha tu, level waliofikia ni kubwa kiasi kwamba gharama za kuwalipa kila wanapocheza ni kubwa. Suala la hilo game kuwa expensive na zimeweza kupatikana hizo "several dollars" inaonyesha kuwa tunao pia uwezo wa kushughulikia matatizo mbalimbali coz pesa zipo ila zinatumika kiholela tu na wanacnhi hawajui. Nchi ina hali mbaya mfano hizi hospitali nyingi wakina mama wajawazito wanalala chini, hakuna mchakato wowote wa makusudi kama huu uliofanyika ili kutatua tatizo hilo.... kwa ujumla ni kwamba maisha magumu ni kwako wewe mlala hoi ila kwa fisadi maisha ni mstarehe tu, hawaumizwi kichwa na matatizo ya wananchi coz wao wanakula na kushiba.
Anyway thank you kama Umeona DNA yangu kansa but i think tanzania inahitaji watu wenye kansa yenye akili kama mimi maana wenye DNA sahihi i wote ndo hivyo . hahahaha
Sasa kwa kuwa mtoto anakosa tiba utasema tusiwe na Wizara ya utamadanuni na michezo? Tusiwe na wizara ya habari??
In short badala ya kuhaingaka kuwapeleka watoto wa mbulu shule za kusoma physics na chemistry tulitakiwa tuwe na shule za kukimbia kule meru na mbulu. Wakati wenzake wa dar wanasoma Archmedes priciple yeye wa mbulu angekuwa anakula tizi la kukimbiz upepo.
nimetoa mfano huu
Anyway mimi sioni Tatizo Kwa brazil kulipwa hela hizo kucheza sababu najua kuna hela nyingi zaidi ya hizo zimetumika vibaaya kuitanganza tanzania.
Suala la wototo ,wazazi ,wazee na watu wote kupata tiba bora ni la muhimu but that is anter subject.Kwangu Binafsi naona it is FEASIBLE.
tatizo sio Kuwaleta Brazil tatizo ni kutumia resources ndogo tulizonazo vizuri. Nina hakika Gharama ya brazil na faida ya kuja kwa brazil ni feasible zaidi kuliko njia nyingi zilizotumika kuitangaza tanzania au kuendeleza michezo.
Wajinga ndo waliwao haya na mtajuana na fahari zenu...kesho mtaambiwa ni moja ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM...ha ha ha ha ha!!
kati ya vitu vinavyoniuma hiki ni kimoja wapo..izo hela ni nyingi sana. Brazil nao hawana roho nzuri kabisa, hawawezi kumkamua mtu maskini kiasi hicho...hivi hawawezi kufanya hata contribution tu jamani kwa kuja kucheza bila mabilion hayo? kwakweli tumeliwa...
Kwanza kabisa hiyo figure ni karibu zaidi na shilingi bilioni 9 kuliko 3, kwa sababu ni US $ 6 million.
Halafu biashara ya kimataifa haiendeshwi kwa "roho nzuri".Brazil hawajatulazimisha tutoe hizo hela, tumetaka wenyewe.Kisha na wao wanazihitaji vile vile.Kwa hiyo usitake kuwawekea lawama kwa kitu ambacho tumejitakia wenyewe.
Hawafanyi kazi ya kanisa hawa. Na kuna nchi kibao zinataka kucheza nao sasa kama wakitaka kucheza bure wacheze na nani wamuache nani?
kuna biashara gani ya kimataifa unayoifanya hapa mkuu, mbona unatoka nje ya mada, au sijakuelewa?
Biashara ya kimataifa ni biashara inayofanywa kwa kuhusisha transactions zinazovuka mipaka ya mataifa.
Hapa Watanzania wanafanya biashara na Wabrazil. Watanzania wanawalipa WaBrazil ili WaBrazil waje kucheza mpira Tanzania.
Hela za Tanzania zinatoka Tanzania zinaenda Brazil.
Huoni biashara ya kimataifa hapo?
We also don't have enough for this: Childbirth in Tanzania - Slide Show - The New York Times
nyie watz mmeuza nini na wabrazil wamenunua nini? unafikiri kila transaction ya kimataifa huwa inakuwa biashara, zingine ni zawadi, si lazima uwe unauza kitu. nikiwa na mtu brazil nataka kumpa hela naweza kufanya international transaction kupeleka kwenye account yake brazil, ni biashara gani nimefanya hapo? unataka kulazimisha mambo wewe hueleweki. hapa hawajafanya biashara yoyote, wamewapa wabrazil zawadi tu kwa kuja kucheza nasisi..unatoa zawadi ya chakula wakati watoto wako wanalala njaaa....nipe defition ya biashara tafadhali....
WaTZ si wauzaji hapa, ni wanunuzi.Wametoa hela ili Brazil ije kucheza.Ukiangalia kwa undani wamenunua mvinyo wa mamilionea wakati wao ni hohehahe, halafu wanataka kutugelesha kwamba wanatangaza nchi.
Si kila transaction ya kimataifa ni biashara, na mimi wala sikusema hivyo. Ila kwa hii ni biashara kwa sababu imehusisha kubadilishana pesa na huduma.
Si lazima Brazil wauze huduma zao, wanaweza kutoa zawadi.Lakini wenye uamuzi wa ama watoe zawadi au wauze ni wenyewe Brazil, huwezi kuwalazimisha wakupe zawadi eti kwa sababu wewe ni masikini.Kama vile ambavyo huwezi kumlazimisha mtu mwingine yeyote akupe zawadi eti kwa sababu wewe ni masikini. Utaitiwa polisi kwa usumbufu.
Ukitaka kumpa mtu wa Brazil fedha ya zawadi una weza, lakini hilo utakalofanya litakuwa tofauti kabisa na hili lililotokea kati ya Tanzania na Brazil, kwani hapa hamna zawadi iliyotolewa, watu wamefanya BIASHARA, kwa hiyo usilete kimfano chako ambacho hakipo applicable hapa.
Inaonekana kama unataka kuwa force waBrazil waje kucheza na sisi bure, eti kwa sababu sisi ni masikini.Guess what? Hawafanyi kazi ya kanisa (hata kanisa nalo linakusanya sadaka, watu weeeeeeeeeh)
Kama Brazil wangekuwa wametusainisha mkataba wa mechi kwa kutushikia mtutu wa bunduki tungewasema kwamba ni wabaya, hawana roho nzuri, ni majambazi wanaowaibia watu masikini.
Lakini hatukushikiwa bunduki, tumekubali wenyewe fair and square.Utawalaumu vipi Brazil?
Kama sisi tunasema masikini mbona hata wao wana masikini wao ambao watafurahi kupata nafasi ya kulamba makombo ya hizi dola milioni sita?
Typical wabongo rationale, tunaharibu wenyewe halafu tunatafuta mtu wa kumlaumu.
umekoti message ambayo sikukuuliza swali,na unasababisha kutoka kwenye mada halisi...nilipoangalia thread ulizochangia mara nyingi naona una matatizo ya kutoka nje ya mada na kwenda porini kabisa...wewe si mtu wa kubishana, naomba nikuache hivyohivyo...hakuna mtu anataka msaada hapa....wala hakuna mtu amesema wanafanya kazi ya kanisa...siku njema mkuu, tuachane na hili. bye.
Kati yangu mimi na wewe unayebisha kwamba hii si biashara ya kimataifa nani yuko nje ya mada?
Kati yangu mimi ninaye discuss maada iliyo katika thread hii, na wewe unayetaja thread zilizo nje ya maada hii kimkupuo kupuo tu, nani anatoka nje ya maada?
Usirushie watu mawe wakati wewe mwenyewe unaishi kwenye nyumba ya kioo.Usilete sheria ambayo wewe mwenyewe huwezi kuitunza.
Yaani pesa mtoe wenyewe kununua huduma za Brazil, kwa hiyari yenu wenyewe, bila kushurutishwa, halafu mnataka kuwalaumu Brazil?
Wewe unachekesha sana.
mkuuu, tujadili kama kuna justification yoyote to spend the billions, ndio mada halisi...tuachane na ubishi wa watu wawili binafsi, hata kama una bifu na mimi, elekea moja kwa moja kwenye mada usinijadili mimi. ...au niseme umeshinda uridhike ndo urudi kwenye mstari? haya basi, UMESHINDA, tuendelee na mada sasa. OK!
Of course najadili kama kuna justification.
Lakini akija nincompoop akisema hii siyo international trade nina wajibu wa ku set the record straight.
And this is not about mashindano ya ligi, this is about the examination of facts.
punguza hasira bwana mdogo, kunani?
Hasira umeiona wewe mimi siioni. Tatizo letu mojawapo ni hii complacency na uvuguvugu wa bora liende, akija mtu ana passion na anachokisema mshaona hasira.
Kuna tofauti kati ya passion na hasira, na mara nyingi wanaojitia kusema "punguza hasira" sehemu ambapo hamna hasira ndio wenye hasira.
Otherwise wangeionaje hasira sehemu ambapo haipo?