Duh mwenzen nlikuwa siamin kama mtu mwenye gharama duniani ni mwanamke na ndo hutumia pesa nying zaid kuliko mwanaume NIMEAMIN SASA. . . . . . Kama na we umethibtisha niambie kama unabisha ntakthibitishia. . . . .
Mie wala sinyanyui mdomo kubisha! Huo mziki twaujua sie wenye watoto bwanaa!
Subiri seasonal za maskukuu zifike, uone nguo za vibinti mziki wake! Na hapo ndiyo grassroot ya complication za wanawake zianzipo.
Umethibitishaje??
Mi mbishi ujue mkuu,na kunishawishi hapo tutakesha,na kwa kuanza ninakuambia ukweli kuwa mwanaume ndio mtumiaji na mfujaji mkuu wa pesa kumzidi mwanamke,njoo na uthibitisho wako nami nije na wangu na nimeshakuambia kabisa kama mi ni mbishi na mpaka unishawishi uwe tayari kukesha....
Mi mbishi ujue mkuu,na kunishawishi hapo tutakesha,na kwa kuanza ninakuambia ukweli kuwa mwanaume ndio mtumiaji na mfujaji mkuu wa pesa kumzidi mwanamke,njoo na uthibitisho wako nami nije na wangu na nimeshakuambia kabisa kama mi ni mbishi na mpaka unishawishi uwe tayari kukesha....
Duh mwenzen nlikuwa siamin kama mtu mwenye gharama duniani ni mwanamke na ndo hutumia pesa nying zaid kuliko mwanaume NIMEAMIN SASA. . . . . . Kama na we umethibtisha niambie kama unabisha ntakthibitishia. . . . .
ishu co jinsi ya kutumia ila ni kuwa na gharama
Mjomba bado ninabisha hao unaowazungumzia ni watoto na anayetoa pesa hizo za matumizi ni nani kama sio baba ..sasa hapo ninarudi kwa mtoa mada anawezaje kunishawishi kuwa mwanamke matumizi yake ni makubwa kuliko ya mwanaume wakati mwanaume ndio mlezi mkuu wa familia.Na msisahau nimewaambia hapa mpaka mnishawishi tutakesha mwanamke hawezi kumzidi mwanaume hata siku moja katika utumiaji..
hujakosea ila h2mia pesa nyng kujigharamia na c vingnevyo. . . . .Hebu soma hapo nilipo hi light kwa rangi nyekundu...Na bado nitaendelea kubisha hata kama ni gharama mwanaume bado ana gharama,tutakesha leo...
mkuu hawajui kama una Phd ya ubishini.
mkuu hawajui kama una Phd ya ubishini.
Za masiku kaka ulipotea ghafla karibu tena jukwaani,hawa vijana wana kazi kubwa sana ya kunishawishi katika hili.Wanapozungumzia gharama wanamaanisha nini kama sio kutumia pesa,na hainiingii akilini kama mwanamke anatumia kuliko mwanamke hata kama amevaa gauni la milioni moja laini aliyegharimia ni nani kama sio mimi..??
Mjomba bado ninabisha hao unaowazungumzia ni watoto na anayetoa pesa hizo za matumizi ni nani kama sio baba ..sasa hapo ninarudi kwa mtoa mada anawezaje kunishawishi kuwa mwanamke matumizi yake ni makubwa kuliko ya mwanaume wakati mwanaume ndio mlezi mkuu wa familia.Na msisahau nimewaambia hapa mpaka mnishawishi tutakesha mwanamke hawezi kumzidi mwanaume hata siku moja katika utumiaji..
Kaa vizuri nishushe! Awali nishkuru kwa kufahamu in advance kwamba mlezi mkuu wa familia ni mwanaume.
Expensis za mwanamke --
Fast unamuo you paid Brideprice.
Mnaanza life hata kama mke ana kazi , kanuni zinasema umlishe, umvishe, umtibitibishe na mahitaji yake yote kwa ujumla yako kwako.
Mwanamke ni tofauti na mwanamme kimatumizi , kwa kukupa mif. Hii michache.
Mwanamke anahitaji kila fasion ya nguo aipate , na kila fasion humechishwa na viatu vyake na mkoba wake.
Kwa hilo la fasion wanaume hawanalo kiviile.
Mwanamke wa kisasa almost Tash elfu 20-25 hutumika kuitupa kichwani , (salon)
kuna Makeups kwa mapana yake!
Kuna wanawake huweka vocha hata buku 5 kila siku kwa kuongea na mashost tu! Wengine hata husutana kwenye simu!
Wakwe wakipata matatizo kama kuumwa n.k muokoa jahazi unadhani ni nani ?
Piga picha kama ndy uwe umemkabidhi mradi hiyo mihela yote itatoka wapi?
hujakosea ila h2mia pesa nyng kujigharamia na c vingnevyo. . . . .
Mchanganuo mzuri sana mkuu,lakini hayo yote bado hajanifikia kwa pair moja tu ya kiatu ninayonunua kila mwezi kwa Euro zisizopungua 900,na hapo bado sijaweka gharama zangu za usafiri ndani na nje ya sehemu ninayoishi,ukiondoa hayo bado sijaingia Pub kupoteza mawazo na mengine mengi..huyo mwanamke na kalikiti yake atafikia wapi gharama za mwanaume bana,hapa nimewaambieni kabisa tutakesha...........